Nasubiri Mdororo wa Local Government

jellyFish

JF-Expert Member
Mar 6, 2013
316
127
Nimepitia uteuzi wa wakurugenzi wa h/mashauri. Siamini naona kama naota kuona ukurugenzi unageuzwa kuwa cheo cha kisiasa!

Huyu JPM nayemwamini 100% anawezaje kumteua mtu haijui kabisa local government kuwa mkurugenzi.

Sifa za kuwa mkurugenzi zimeandikwa kwenye kitabu cha muundo wa utumishi. Kifupi JPM atakuja kuomba radhi watanzania kwa kosa hili. U-DC ni tofauti sana na ukurugenzi, ukurugenzi ni utaalamu na uzoefu wa kuongoza local govt. na sio siasa.

Hata kama kuna msukumo wa kisiasa, wapo makada wazuri sana wenye sifa za kuwa wakurugenzi tena wanao ijua local govt. vizuri sana.

Kusema haya sina maana napinga mabadiliko haya ya wakurugenzi, la, tena nayafurahia sana kwa sababu yametoa uozo mkubwa ndani ya local govt.

Wengi wa wakurugenzi waliokuwepo walikuwa wananunua ukurugenzi kama bidhaa na wengine walipewa kiushkaji, panga lilopita lilikuwa sahihi kwa wakati sahihi wa kuelekea Tanzania ya viwanda, lkn kwa uteuzi huu najiskia aibu kubwa sana.

Leo watu wananikejeli wananiambia angalia uteuzi wa mtu wako unaye mwamini mno!!!!=== Sina majibu nimepigwa na butwaa.

Nasubiri mdororo wa local government ambalo ni mdororo wa serikali.
Namaliza kwa kumwombea Rais wetu JPM aepushwe na pepo la kuunda "mtandao" na asimamie kile alichoamini.===akiisoma hii aseme- Amen
 
Ndio sasa ni meelewa vizuri zaidi pale Rais JPM anapo sema "hapa ndipo Tanzania ilipokuwa imefikia." Kile kinachoitwa wanamtandao ndio madhara yake tunayaona sasa. Ni vema moja ya vipaumbele vya Rais ikawa ni pamoja na kudhibiti uwezekano wa kutokea mtu au kikundi cha watu kutengeneza mitandao katika kutafuta uongozi wa juu wa taifa hili.
 
Nimepitia uteuzi wa wakurugenzi wa h/mashauri. Siamini naona kama naota kuona ukurugenzi unageuzwa kuwa cheo cha kisiasa! Huyu JPM nayemwamini 100% anawezaje kumteua mtu haijui kabisa local government kuwa mkurugenzi. Sifa za kuwa mkurugenzi zimeandikwa kwenye kitabu cha muundo wa utumishi. Kifupi JPM atakuja kuomba radhi watanzania kwa kosa hili. U-DC ni tofauti sana na ukurugenzi, ukurugenzi ni utaalamu na uzoefu wa kuongoza local govt. na sio siasa. Hata kama kuna msukumo wa kisiasa, wapo makada wazuri sana wenye sifa za kuwa wakurugenzi tena wanao ijua local govt. vizuri sana. Kusema haya sina maana napinga mabadiliko haya ya wakurugenzi, la, tena nayafurahia sana kwa sababu yametoa uozo mkubwa ndani ya local govt. Wengi wa wakurugenzi waliokuwepo walikuwa wananunua ukurugenzi kama bidhaa na wengine walipewa kiushkaji, panga lilopita lilikuwa sahihi kwa wakati sahihi wa kuelekea Tanzania ya viwanda, lkn kwa uteuzi huu najiskia aibu kubwa sana. Leo watu wananikejeli wananiambia angalia uteuzi wa mtu wako unaye mwamini mno!!!!=== Sina majibu nimepigwa na butwaa. Nasubiri mdororo wa local government ambalo ni mdororo wa serikali.
Namaliza kwa kumwombea Rais wetu JPM aepushwe na pepo la kuunda "mtandao" na asimamie kile alichoamini.===akiisoma hii aseme- Amen


Nimelipenda andiko lako...Baadhi yetu tunaompenda JPM tumepigwa na butwaa kuhusu teuzi hizi hasa za ma-DAS na Wakurugenzi wa halmashauri...professionalism inaachwa na kigezo kinachoangaliwa ni ukada na lobbying pamoja na kujipendekeza...ni kweli kabisa mabadiliko kiutendaji ndani ya LGs na hata central government yanahitajika lakini siyo kwa uteuzi wa aina hii uliofanyika...Mimi binafsi naona kuna watu wanamhujumu JPM...Tusubiri tuone, ubashri wangu ni kuwa kutakuwa na kilio kikubwa kiutendaji katika halmashauri nyingi kuliko awali...
 
Nimepitia uteuzi wa wakurugenzi wa h/mashauri. Siamini naona kama naota kuona ukurugenzi unageuzwa kuwa cheo cha kisiasa! Huyu JPM nayemwamini 100% anawezaje kumteua mtu haijui kabisa local government kuwa mkurugenzi. Sifa za kuwa mkurugenzi zimeandikwa kwenye kitabu cha muundo wa utumishi. Kifupi JPM atakuja kuomba radhi watanzania kwa kosa hili. U-DC ni tofauti sana na ukurugenzi, ukurugenzi ni utaalamu na uzoefu wa kuongoza local govt. na sio siasa. Hata kama kuna msukumo wa kisiasa, wapo makada wazuri sana wenye sifa za kuwa wakurugenzi tena wanao ijua local govt. vizuri sana. Kusema haya sina maana napinga mabadiliko haya ya wakurugenzi, la, tena nayafurahia sana kwa sababu yametoa uozo mkubwa ndani ya local govt. Wengi wa wakurugenzi waliokuwepo walikuwa wananunua ukurugenzi kama bidhaa na wengine walipewa kiushkaji, panga lilopita lilikuwa sahihi kwa wakati sahihi wa kuelekea Tanzania ya viwanda, lkn kwa uteuzi huu najiskia aibu kubwa sana. Leo watu wananikejeli wananiambia angalia uteuzi wa mtu wako unaye mwamini mno!!!!=== Sina majibu nimepigwa na butwaa. Nasubiri mdororo wa local government ambalo ni mdororo wa serikali.
Namaliza kwa kumwombea Rais wetu JPM aepushwe na pepo la kuunda "mtandao" na asimamie kile alichoamini.===akiisoma hii aseme- Amen
Hivi why Tanzania imekuwa nchi ya kulalamika tu??
 
Mkianza kuwapa mtizamo hasi hao wateule basi na wao wanaweza kutenda kihasi hasi lakini mkiwapa mtizamo chanya basi na wao wanaweza kutenda kichanya chanya hivyo wapeni muda kabla ya kuwahukumu kuwa hawawezi.
 
Mi mwenyewe nasubiri hilo songombingo lake manake madiwani wetu nawajua sasa ukichanganya na Hawa wateule wapya huko halmashauri kila siku itakuwa matamko.
 
Mkianza kuwapa mtizamo hasi hao wateule basi na wao wanaweza kutenda kihasi hasi lakini mkiwapa mtizamo chanya basi na wao wanaweza kutenda kichanya chanya hivyo wapeni muda kabla ya kuwahukumu kuwa hawawezi.

Hiyo nayo miujiza mingine!!!!!!!!!!!!!
 
Sina uhakika kama walio teuliwa ni unqualified since sijapata cv zao ama kujua uzoefu wao

Ila kwa Uteuzi huu ama teuzi zinazo endelea wengi hamjaelewa manager wetu mkuu anataka nini!!!

Hii ni unique system of administration ambayo kama iki fanikiwa inafanikiwa kweli na kama iki feli ina feli kweli!!!

Anachokifanya ni kuteua watu ambao wana mashaka!! Since hawana vigezo(not shure) ili iwe rahisi kuwa comand kutokana na fear!!!

So!! Hawa ni waoga na hawawezi kuunda mtandao wa rushwa (in his believe) since ni wa oga!!! Kama akiteua lot of qualified ni wajanja wana confidence na kwa neture ya watanzania wasomi na watu qualified ndio wezi!!!


Anahitaji akikuteua ugope!! Anahitaji watu watakao implement direct kile anacho kitamka bila kuhoji!!!

ataki mtu wa kumletea chalenges kukosoa ama kumodify kile alicho kiwaza!!! Ama kutaka kifanyike!!!

Thats why anachukua lot of unqualified staff that will follow his demands!!! Akiwa na imani it will pay off!! Sijui nimeeleweka????
 
This is the best president ever..hata wakosoaji kimoyomoyo husema "huyu ndiye prezda tuliyemsubiri kwa miaka mingi" naskia hata yule mmachame wa majengo juu yupo ndani sasa hivi pale stesheni central police anatakiwa kulipa 12b alizokwepa kodi.

Anyway nitawashusha wale waliokuwa wakiishi kama shetani waje waishi kama malaika.....ngoja nishushe bia yangu ya kijamaa ze safari huku nasikiza uuuh la lalaaaa!!!

May GOD bless my president Magufuli.
 
Sibiri uone nao wakurugenzi wachague makada kuwa maafisa watendaji tarafa kata na vijiji Na mitaa tunakoenda ni chama kushika hatamu ccm ni Ile Ile
 
WE MUANZISHA MADA SI UPO MTAA MMOJA NA MH JPM YAANI IKULU KWENYE SOKO LA SAMAKI FERRY INGIA TU NDANI AU MSUBIRI AKIJA KWENYE MKUTANO WA MWENYEKITI WA MTAA MNAOSOMEWA MAPATO NA MATUMIZI WE MWAMBIE MWENYEKITI WA MTAA HUYU MPANGAJI JIRANI YETU AMEVURUGA MAMBO ANATUMIA NYUMBA NAMBA MOJA SIVYO
 
In times of change, learners inherit the Earth, while the learned find themselves beautifully equipped to deal with a world that no longer exists.
 
Nimepitia uteuzi wa wakurugenzi wa h/mashauri. Siamini naona kama naota kuona ukurugenzi unageuzwa kuwa cheo cha kisiasa! Huyu JPM nayemwamini 100% anawezaje kumteua mtu haijui kabisa local government kuwa mkurugenzi. Sifa za kuwa mkurugenzi zimeandikwa kwenye kitabu cha muundo wa utumishi. Kifupi JPM atakuja kuomba radhi watanzania kwa kosa hili. U-DC ni tofauti sana na ukurugenzi, ukurugenzi ni utaalamu na uzoefu wa kuongoza local govt. na sio siasa. Hata kama kuna msukumo wa kisiasa, wapo makada wazuri sana wenye sifa za kuwa wakurugenzi tena wanao ijua local govt. vizuri sana. Kusema haya sina maana napinga mabadiliko haya ya wakurugenzi, la, tena nayafurahia sana kwa sababu yametoa uozo mkubwa ndani ya local govt. Wengi wa wakurugenzi waliokuwepo walikuwa wananunua ukurugenzi kama bidhaa na wengine walipewa kiushkaji, panga lilopita lilikuwa sahihi kwa wakati sahihi wa kuelekea Tanzania ya viwanda, lkn kwa uteuzi huu najiskia aibu kubwa sana. Leo watu wananikejeli wananiambia angalia uteuzi wa mtu wako unaye mwamini mno!!!!=== Sina majibu nimepigwa na butwaa. Nasubiri mdororo wa local government ambalo ni mdororo wa serikali.
Namaliza kwa kumwombea Rais wetu JPM aepushwe na pepo la kuunda "mtandao" na asimamie kile alichoamini.===akiisoma hii aseme- Amen
Tatizo lenu hamtaki kuamini kuwa ADUI wa TAIFA hili ni CCM mkiambiwa chagueni kitu kingine mnaishia kutaja majina ya watu...so..TULIENI...siku mkija kuamini kwamba CCM ndio inaharibu hii NCH hata akigombea MALAIKA kwenye hiyo hamtamchagua....!! Endeleeni kusubiri Tanzania ya Viwanda...
!!
 
Kama kuna mtu bado ana imani na ccm, asitarajie jipya. Hii nchi itapiga hatua za haraka kimaenedeleo pale tu ccm itakapotoka madarakani, zaidi ya hapo tutaendelea kushuhudia mazingalaombwe tu.
Unajua watanzania sijui nani katuwangia ukichoandika ni ngumu sana...kuelewa yaani MTU anafanya jambo lile lile miaka yote then anajitegesha kusubiri mambo mapya...Kwanini watz tusiwe Ajabu la 8 la Dunia kwa UJUHA
 
Back
Top Bottom