Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Dogo anatakiwa ago easy, yeye kama nia yake kuwatumikia wananchi wa Arumeru awekeze nguvu nyingi kwenye kutatua kero jimboni mwake. Hizi mambo akizianza atashangaa miaka 3 imepita ame spend muda wote mahakamani.