Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Walotoka CCM kwenda chadema nawao mliwahonga shilingi ngapi?
Ukiacha rushwa ni kitendo cha jinai, kuwa na kiongozi anayenunulika, hafai kabisa. Hao madiwani wa CHADEMA sasa ni dhahiri kwamba waliteuliwa na Chama kwa rushwa.Kwa hiyo CHADEMA mnamadiwani ambao wananunuliwa?
Aendele na Kongwa na Chemba na ChattleKaangalie arumeru mashariki kwa nasari kisha uje uulize tena..
Hata wew utanunuliwa tu... Yesu aliuzwa na Yuda banaKwa hiyo CHADEMA mnamadiwani ambao wananunuliwa?
B4U cha indiakichwa cha habari na habari havijaendana.! sasa wako live kituo gani?
Tanzania maendeleo yanaletwa na mbunge? No wonder tulikataa katiba ya walioba
Kwani warioba aliwahi kua na katibaTanzania maendeleo yanaletwa na mbunge? No wonder tulikataa katiba ya walioba
Mkutano umekwisha na hatujaona uliyoyasemakwenye mkutano huu ccm wengi watarudisha kadi zao