Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
Hata majambazi benk yanatakiwa kuombwa kibali ili yarekodiwe na CCTV
Hii comment nimeipenda hata waizi wanaopigwa picha na CCTV waombwe kwanza kabla ya kuchukua picha zao...
Hata majambazi benk yanatakiwa kuombwa kibali ili yarekodiwe na CCTV
Mamlaka husika ndo zitasema kama kweli hizo video zimechezewa au la na kama zimechezewa ni kwa kiasi gani haziathiri maudhui original.yule aliyerekodi atasaidia kina lema na nasari. vile vile kuna walakini wa hao wanaotunza hizo video kuweza kuzifanyia ujanja ujanja kabla ya kuziwasilisha mamlakani. tutawaamini vipi hawa wanaohifadhi hizi video kama hawajazichezea?
Wewe ni mpuuzi sana,wasinge record wananchi wangejuaje mchezo huu mchafu.Akina Lema na Nasari wamefanya kazi nzuri sana,and we want more of this type of thing elsewhere.Na atakayediriki kuwachukulia hatua ni wazi kwamba ni adui wa Watanzania.Ujinga huu utafichwa mpaka lini.Watu badala ya kufanya kazi kwa weledi wananchi wakakipenda chama kihalali, wanatumia rushwa kujaribu kuonyesha kwamba chama kinapendwa.Hovyo sana.Tunaomba wahusika wote wachukuliwe hatua kali kwa utovu mkubwa wa nidhamu na kuvunja sheria za nchi.Inaudhi,inaudhi, inaudhi sana.Chama hakiwezi kuendelea hivi,ni aibu sana.Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
Kwahiyo ile video ni ya " kweli"?!!!....... Duh hatareee!!Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
Hivi watu kama nyie huwa mnafikiri kwa kutimia steak au mifupa?Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
yule aliyerekodi atasaidia kina lema na nasari. vile vile kuna walakini wa hao wanaotunza hizo video kuweza kuzifanyia ujanja ujanja kabla ya kuziwasilisha mamlakani. tutawaamini vipi hawa wanaohifadhi hizi video kama hawajazichezea?
Mzee wa kutrep simu za watu hana kosa,Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
This is a gay na a guy!!Wapate idhini ya kumrekodi DC anayetenda jinai kwenye ofisi za umma! guy urnt serious.
Dah!..yule aliyerekodi atasaidia kina lema na nasari. vile vile kuna walakini wa hao wanaotunza hizo video kuweza kuzifanyia ujanja ujanja kabla ya kuziwasilisha mamlakani. tutawaamini vipi hawa wanaohifadhi hizi video kama hawajazichezea?
kosa chini ya sheria gani? Huyo ni wa kwanza kurekodiwa? Inaonekana hujui hata usemalo mkuu, ni vema kutulia.Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
MTOA UZI SIO MZIMA WA AKILI WALA MWILI.Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
Shame upon you kwa mujibu wa kifungu gan cha sheria ipi andishi???. Mkiambiwa UDSM wanapika vijana wanaiva mnanuuuuuuuna ona sasa matokeo yke!.Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
kumbe mna kubali ni yeye na haija fanyiwa editing, nlidhan bado mna kanushaKumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
Naona umetoka usikojulikanaKumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.