Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hizo akili zenu huwa mnaruhusu kwa hiari yenu ziondolewe au huwa mmeonyeshwa bunduki?yule aliyerekodi atasaidia kina lema na nasari. vile vile kuna walakini wa hao wanaotunza hizo video kuweza kuzifanyia ujanja ujanja kabla ya kuziwasilisha mamlakani. tutawaamini vipi hawa wanaohifadhi hizi video kama hawajazichezea?
Kwa hiyo mshakubali sio kuwa mlikuwa mnanunua madiwani ?Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa
la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
Huwezi kuvunja sheria kijingakijinga halafu uachwe hivi hivi.Angalia maslahi ya taifa,,,,,achana n fikra mbovu,,,,,jadili kesi mama ndo ufuate vipengele vidogo
Kesho wamnase Rais eti wakitafuta maslahi ya taifa? Ni nani anayeamua maslahi ya taifa zaidi ya waliempigia kura?Angalia maslahi ya taifa,,,,,achana n fikra mbovu,,,,,jadili kesi mama ndo ufuate vipengele vidogo
sheria ipi imevunjwa?Huwezi kuvunja sheria kijingakijinga halafu uachwe hivi hivi.
Lema is a criminal.
Sasa we poyoyo, kumrekodi mtu anaefanya uhalifu ni kosa? na CCTV mitaani zimewekwa za nini basi?Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.
Kumrekodi mtu na kusambaza video zake bila idhini yake ni kosa la jinai Nasari na Lema mna kesi ya kujibu jiandaeni.