Nassari: Lowassa anahusika kunipiga

Hakuna anaeaminika tena kila mmoja anavutia kwake

"To know the enemy is half the victory"
Ukweli unajulikana labda kama umeamua kujivua ufahamu,CCCM ni magaidi!
 
Pole sana kamanda Nasari!...tunajua unyama na uovu wa ccm. Jana tumesikia kauli ya waziri mkuu akiidhinisha uvunjaji wa katiba kwa kuwapa policcm idhini ya kuwapiga watuhumiwa kabla ya kuthibitika kuwa wakosaji. Serikali hii inaendeshwa na genge la mafia, wananchi inabidi tujitafutie mifumo yetu ya kienyeji ili kujihami na dola lililogeuka tishio kwa siha na ustawi wa taifa.
MUNGU anaona, na ushindi hauko mbali.
 
Kwahiyo watu walimuona tu Nassari yule wakaenda kumpiga virungu? basi hao kwa hakika watakuwa ni wendawazimu.
 
Hv upigwe mpaka upelekwe hosp halafu uhamushiwe Moi bila hata ya maumivu au kuvunjika popote , kweli alipigwa au alikimbizwa? Mtoto ana kauli na dharau mbaya sana hata kwa viongozi wenzake huyu , mdom wake utamghalimu.
 
Nasari jiuguze utulie dogo umeanza siasa mwaka jana lowasa ni master wa siasa utaumia muulze sta,mwakyembe na kna sumaye!Dogo usikmbze upepo wenzko kna mbowe wanaenda kwa step na wanamjua EL ni mafia wa siasa toka ktmbo ata nyerere alkua anamuita kjana mjeur..lowasa almuonyeshea nyerere ujeur uwe wewe utaumia kijana
 
usdanganywe na maadui wa lowasa ksiasa utaumia ata akna nyalandu alyekusndkza airpot si kwmb anakutakia mema nyalandu ni kampen meneja wa membe ktk kutafta urais 2015 wanakudanganya unaropoka kwa sababu ni maadui wa lowasa ksiasa na amewazd kete kila idara kuanzia ndan ya ccm ad nje!take kea Nasari lowasa ni hatar dogo
 
haka kajamaa kalitoroka jkt visingizio eti kapata taarifa usalama wa taifa watamwua.

hospitali ya dini nako wanataka kumwua. bado anakimbilia muhimbili hospital tena ya serikali. usalama wavaa koti nyeupe hawako muhimbili.

huyu kijana ni toto jinga. yuko kwenye movie.
 
Cheap popularity + Cheap politics/ = Nassari.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

Wanasiasa wengi wanadhani kusema uongo ndio kujiimarisha kisiasa kumbe ni kujichimbia kaburi. Mnyika anasema hivi mara nassari akanushe yaliyosemwa na mnyika. ninachoona wao wanaongozwa zaidi na hisia zao badala ya uhalisia wa mambo.
 

CCM mmeshindwa kufanya siasa huru, mnapiga watu ovyo tu, mmefilisika kichwani!
 
Jenifa mimi nilikuwepoe usumbufu ulikuwa mkubwa wardini kiasi cha madaktari wenyewe kushauri aondolewe, nyie mnadhani ni ushabiki wa kisiasa tu kwa kila kitu..
 
Last edited by a moderator:
mi hata sielewi tena bhana maana nimechoka kuelewa
 
Ni kweli, Lowasa ni mtu wa kulipiza visasi sana ila anasahau waliomuhujumu Arumeru ni haohao CCM
 
Toto jinga toto jinga toto jinga.
 
Hata kama Nassari ni muongo lakini mbona madaktari wanaendelea kumutibu ,
1.je wanamtibi nini kama hakupigwa???
2.Kama Nasary kapigwa je kapigwa na chadema???
3.Wote humu tumukubaliana kuwa waliotembeza kipigo kwa washabiki wa chadema na wabunge ni CCM sasa Lowasa sio CCM???
4.Lowassa ndiye mfadhali mkubwa wa makundi ya CCM na ndiye anataka kugombea urais na upo ukweli bila shaka kuwa Arumeru Nasary ana nguvu kuliko Lowassa sasa hapa hakuna ushahidi ??


MIMI NINGESHAULI TUCHANGIE KWA HOJA KWA KUWA NASSARY AMETOA HOJA ; TUSICHANGIE KWA MTAZAMO WA KUMUONA LOWASSA KAMA CCM NA SI CHADEMA!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…