Nassari kufunga Ndoa Jumamosi

Prayuth

Member
Joined
May 20, 2014
Posts
10
Reaction score
0
Mh. Makinda amesema ametangaza Bungeni kuwa Mh. Nassari atafunga ndoa Jumamosi, ila hakusema atafunga ndoa na nani? Mh. Nassari ni member humu nadhani atatudokezea kidogo.
Hongera saa Mh. Nassari.

====================

Matukio ya sherehe ya sendoff
 
anamuoa mdee!
Mungu amtangulie ndoa ifanikiwe
 
Mh. Makinda amesema ametangaza Bungeni kuwa Mh. Nassari atafunga ndoa Jumamosi, ila hakusema atafunga ndoa na nani? Mh. Nassari ni member humu nadhani atatudokezea kidogo.
Hongera saa Mh. Nassari.

mkewe ni Halima Mdee, mmesahau kampeni za arumeru
 
Maandalizi ya uchaguzi 2015.
 
Ile tabia yake ya kutembea na majimama kule Tengeru naona sasa ataiacha...cdm viongozi wake wanapenda michepuko sana.
 
Ameamua kumfuta machozi yule mwimba kwaya mrembo vic aliyeingizwa mkenge majuzi!
 
Hivi harusi ya Dr Slaa tayari??

Bado mkuu! Mtoto bado mdogo wanalea kwanza, nadhani mwakani kamanda atafunga ndoa nae na mama yetu Josephine ya kimila au serikali maana mama yetu alishafunga kanisani, haiwezekani arudi kanisani tena.
 
Ahongereke! Vp anafungia kwa Gwajima?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…