SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,780
- 3,403
Huwa nawashangaa hawa wabunge wa upizani haswa cdm wakiwa bungeni hukosa sana heshima kwa serikali hajabu wakitoka nje ya bunge wakiwa na hao viongozi wa serikali kwenye majukwaa husifia serikali imefanya mambo makubwa na kwa maneno yake mwenyewe amesema leo mbele ya pinda mnyonge mnyongeni haki yake mpeni serekali nawapongeza kwa kazi nzuri mlofanya hapa..
Sasa najiuliza wale wasoona jema lolote la serikali huwa wao hawana macho na masikio!?au viongozi wenu ndio wanafiki!?
Sasa najiuliza wale wasoona jema lolote la serikali huwa wao hawana macho na masikio!?au viongozi wenu ndio wanafiki!?