Nasomaje Advanced chemistry?

Nasomaje Advanced chemistry?

Nimejaribu kugusa Aufubau principle naona hata siwezi kuandika electronic configuration, pia Hydrogen spectrum ya Bohr's model(Balmers series,Laymers series,Paschen series, p-fund)
Ukija kwenye quantum orbitals haya maua na xyz coordinates yananichanganya. Nikaona niguse tena organic kwenye principle of showing reactions za benzene napo hapagusiki. Nikajaribu tena Physical kwenye Azeotropic mixture hata siyaelewi. Wadau nyie mlisomaje?
Oya subiri subiri kwanza kuchangamke maana hayo maji ya uji ndio kwanza yapo jikoni tia unga mapema usije ukaivisha mabuja, Chuo kikishachangamka utaelewa kila kitu hata usichotaka kuelewa niamini mimi kuna group discussion utakutana na wenzio watakupa mbinu nyingine za kuelewa haraka
 
Bora shemeji katoto yeye ametulia na kitabu hataki shida japo nawaza usipokuwa unalishwa mawe basi utarudi kwa bi mkubwa bila kupenda ila yale mengine sikushauri yanaonekana majambaka tu hata majina yao yaneleza kabisa
huyu ana kautakatifu fulani hivi eeh? sasa ndio mpaka amalize masomo yake ya sayansi si ntakuwa na wajukuu! aisee ntamuonea tu bure, atatoka na wa kwaeshuleni tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom