Nasoma Business law, simuelewi vizuri mwalimu naomba nisaidiwe baadhi ya maswali

Huyu bro

Senior Member
Jan 8, 2023
120
168
Habari?
Law sio field yangu lakini kwenye kozi yangu nasoma Business law.
Kuna vitu nahitaji kuvijua vizuri/zaidi kuhusu law of contract, pia naomba atakae amua kunielewesha atoe mifano nadhani ndiyo nitaelewa vizuri.

1: Kuhusu cinsideration
-Consideration ni nini? mfano wake ni upi?
- promise ina utofauti gani na offer?
-Aina tatu za consideration zinakuaje
Past, Excuted na excutory?.

-Na kumove consideration ni kufanya nini?
-Na nani anaweza move consideration?

-Pia sifa za consideration ni zipi?

-Adequate ina maana gani kwenye consideration na Sufficient ina maana gani?

2. Kuhusu Free assent.
Kipengele cha mistake
Mistake inakuaje na je, katika hali zipi mistake inaweza pelekea agreement kuwa void na katika hali zipi inaweza pelekea agreement kuwa valid?

3: Kuhusu intention to create legal relations
Katika hali zipi domestic agreement zinaweza kuwa na lega effects?

Natanguliza shukrani.
 
Moja ya module rahisi mno kwa ngazi ya elimu ya juu... ila mnafanya mchezo mchezo tu huko, muwe mnafikiri na mlikotoka na mjitathmini mnaelekea wapi maishani mwenu enyi vijana mliopo vyuoni. Kazi fashion, ujuaji, kunyoa minyoo ya kipumbavu, club, simu nzuri, movie, laptop kali na kupenda ngono tu!...

Inamaana huna group discussion chuoni?! Huna marafiki au Course-mate?! Haya hata groups hakuna uulize?! Hao wakufunzi wana kazi gani?!

Kama ni kijana wa kiume AMKA! JITATHMINI! JITAMBUE! MAISHA SIO LELE MAMA... NA HILO NI SOMO RAHISI SANA! TULIZA AKILI.

Ahsante!
 
Moja ya module rahisi mno kwa ngazi ya elimu ya juu... ila mnafanya mchezo mchezo tu huko, muwe mnafikiri na mlikotoka na mjitathmini mnaelekea wapi maishani mwenu enyi vijana mliopo vyuoni. Kazi fashion, ujuaji, kunyoa minyoo ya kipumbavu, club, simu nzuri, movie, laptop kali na kupenda ngono tu!...

Inamaana huna group discussion chuoni?! Huna marafiki au Course-mate?! Haya hata groups hakuna uulize?! Hao wakufunzi wana kazi gani?!

Kama ni kijana wa kiume AMKA! JITATHMINI! JITAMBUE! MAISHA SIO LELE MAMA... NA HILO NI SOMO RAHISI SANA! TULIZA AKILI.

Ahsante!
Umemjibu kikatili sana mkuu
 
Habari?
Law sio field yangu lakini kwenye kozi yangu nasoma Business law.
Kuna vitu nahitaji kuvijua vizuri/zaidi kuhusu law of contract, pia naomba atakae amua kunielewesha atoe mifano nadhani ndiyo nitaelewa vizuri.

1: kuhusu cinsideration
-Consideration ni nini? mfano wake ni upi?
- promise ina utofauti gani na offer?
-Aina tatu za consideration zinakuaje
Past, Excuted na excutory?.

-Na kumove consideration ni kufanya nini?
-Na nani anaweza move consideration?

-Pia sifa za consideration ni zipi?

-Adequate ina maana gani kwenye consideration na Sufficient ina maana gani?

2.Kuhusu Free assent.
Kipengele cha mistake
Mistake inakuaje na je, katika hali zipi mistake inaweza pelekea agreement kuwa void na katika hali zipi inaweza pelekea agreement kuwa valid?

3:kuhusu intention to create legal relations
Katika hali zipi domestic agreement zinaweza kuwa na lega effects?

Natanguliza shukrani.
Yaani unaweza anzisha uzi humu unashindwa search Internet nakusoma zaidi...Google,youtube,journal zipo kibao. ...kua mbunifu au omba tuition. ..nyie ndio wale spoon feeding o-level, high school
 
Moja ya module rahisi mno kwa ngazi ya elimu ya juu... ila mnafanya mchezo mchezo tu huko, muwe mnafikiri na mlikotoka na mjitathmini mnaelekea wapi maishani mwenu enyi vijana mliopo vyuoni. Kazi fashion, ujuaji, kunyoa minyoo ya kipumbavu, club, simu nzuri, movie, laptop kali na kupenda ngono tu!...

Inamaana huna group discussion chuoni?! Huna marafiki au Course-mate?! Haya hata groups hakuna uulize?! Hao wakufunzi wana kazi gani?!

Kama ni kijana wa kiume AMKA! JITATHMINI! JITAMBUE! MAISHA SIO LELE MAMA... NA HILO NI SOMO RAHISI SANA! TULIZA AKILI.

Ahsante!

Hajakuambia hajitambui ila haelewi
Ungemsaidia ajue hayo ni nini na sio kuanza kumnanga

Mwenye uzi nichek inbox ninaahidi kukusaidia ningekua na muda ningeandika hapa lkn sina muda sana
 
Habari?
Law sio field yangu lakini kwenye kozi yangu nasoma Business law.
Kuna vitu nahitaji kuvijua vizuri/zaidi kuhusu law of contract, pia naomba atakae amua kunielewesha atoe mifano nadhani ndiyo nitaelewa vizuri.

1: Kuhusu cinsideration
-Consideration ni nini? mfano wake ni upi?
- promise ina utofauti gani na offer?
-Aina tatu za consideration zinakuaje
Past, Excuted na excutory?.

-Na kumove consideration ni kufanya nini?
-Na nani anaweza move consideration?

-Pia sifa za consideration ni zipi?

-Adequate ina maana gani kwenye consideration na Sufficient ina maana gani?

2. Kuhusu Free assent.
Kipengele cha mistake
Mistake inakuaje na je, katika hali zipi mistake inaweza pelekea agreement kuwa void na katika hali zipi inaweza pelekea agreement kuwa valid?

3: Kuhusu intention to create legal relations
Katika hali zipi domestic agreement zinaweza kuwa na lega effects?

Natanguliza shukrani.
Umeshaa meza neno "QUID PRO QUO"?
 
Moja ya module rahisi mno kwa ngazi ya elimu ya juu... ila mnafanya mchezo mchezo tu huko, muwe mnafikiri na mlikotoka na mjitathmini mnaelekea wapi maishani mwenu enyi vijana mliopo vyuoni. Kazi fashion, ujuaji, kunyoa minyoo ya kipumbavu, club, simu nzuri, movie, laptop kali na kupenda ngono tu!...

Inamaana huna group discussion chuoni?! Huna marafiki au Course-mate?! Haya hata groups hakuna uulize?! Hao wakufunzi wana kazi gani?!

Kama ni kijana wa kiume AMKA! JITATHMINI! JITAMBUE! MAISHA SIO LELE MAMA... NA HILO NI SOMO RAHISI SANA! TULIZA AKILI.

Ahsante!
We kweli hohehahe.
 
Yaani unaweza anzisha uzi humu unashindwa search Internet nakusoma zaidi...Google,youtube,journal zipo kibao. ...kua mbunifu au omba tuition. ..nyie ndio wale spoon feeding o-level, high school
Kwaiyo hapa situmii internet, au huu uzi nilio anzisha sio moja ya njia ya kusearch ninacho kihitaji? unafikiri utadhani kichwa ni kifuniko cha mwili tu.
 
Moja ya module rahisi mno kwa ngazi ya elimu ya juu... ila mnafanya mchezo mchezo tu huko, muwe mnafikiri na mlikotoka na mjitathmini mnaelekea wapi maishani mwenu enyi vijana mliopo vyuoni. Kazi fashion, ujuaji, kunyoa minyoo ya kipumbavu, club, simu nzuri, movie, laptop kali na kupenda ngono tu!...

Inamaana huna group discussion chuoni?! Huna marafiki au Course-mate?! Haya hata groups hakuna uulize?! Hao wakufunzi wana kazi gani?!

Kama ni kijana wa kiume AMKA! JITATHMINI! JITAMBUE! MAISHA SIO LELE MAMA... NA HILO NI SOMO RAHISI SANA! TULIZA AKILI.

Ahsante!
Jibu kama unaweza.
ushauri kawape wanao huyu sio mtoto wako. Inavoonekana huelewi hata hiyo business law ndio maana unashauri sana.
 
Yaani unaweza anzisha uzi humu unashindwa search Internet nakusoma zaidi...Google,youtube,journal zipo kibao. ...kua mbunifu au omba tuition. ..nyie ndio wale spoon feeding o-level, high school
Hapa alipofikia ni moja ya ubunifu akijua kabisa jf kuna wasomi kibao kama jambo hajaelewa darasani akiemda google bado atakutana na maelezo mabayo hataelewa kirahisi ila akifafanuliwa vizuri humu ataelewa tu. Muda mwingine tusijipe sana umuhimu wa kiropoka nenda google wakati ww mwenyewe hujui kutumia google ili upate unachotaka. Bado mimi naona janja yupo sahihi sana kuja kuuliza humu tatizo wanaojibu hawajawahi hata nusa chuo sio wao tu hata familia zao kusoma ni mtihani
 
Back
Top Bottom