je kwa ambae amechaguliwa chuo zaidi ya kimoja na hayupo kwenye orodha ya multiple tcu?Kama haukupata bac Leo wahi mapema pale kwenye office zao kuna karatasi utapewa ujaze had jioni utakuwa ushatumiwa code zako wote walioenda wametumiwa Ila kama jina lako lipo kwenye orodha ya multiple ya TCU
Watu muache kubet kwenye jambo la elimu.Kwa nini mtu aombe vyuo zaidi ya kimoja? hamjiamini?
Kama haupo kwenye orodha yao ya TCU ya multiple bac wao wanasema uwasiliane na hivyo vyuo ulivo chaguliwa maana wao taafa zako kutoka kwenye hivo vyuo hazijawafikia ndo maana jina halijatokeaJe
je kwa ambae amechaguliwa chuo zaidi ya kimoja na hayupo kwenye orodha ya multiple tcu?