Nasimamia mitandao ya kijamii (social media manager)

Nasimamia mitandao ya kijamii (social media manager)

Tech Max

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2025
Posts
337
Reaction score
308
Je unahitaji msimamizi wa mitandao ya kijamii nitakuwa naweka posti za bidhaaa zako, kujibu maswali ya wateja na mambo mengine.

Malipo kwa mwezi ni 150,000 Tsh.

Napatikana: Dar es salaam, Mbezi
Mawasiliano: 0756704145
 
Je unahitaji msimamizi wa mitandao ya kijamii nitakuwa naweka posti za bidhaaa zako, kujibu maswali ya wateja na mambo mengine.

Malipo kwa mwezi ni 150,000 Tsh.

Napatikana: Dar es salaam, Mbezi
Mawasiliano: 0756704145
Jaribu kunijibu kama mteja niliyekuja kuuliza bei ya bidhaa X inayopatikana dukani kwako Dodoma tu. Na mimi mteja napatikana Morogoro mjin
 
Jaribu kunijibu kama mteja niliyekuja kuuliza bei ya bidhaa X inayopatikana dukani kwako Dodoma tu. Na mimi mteja napatikana Morogoro mjin
Karibu, bidhaa hii X bei yake ni xxxx inapatikana mkoa wa Dodoma tu kwa sasa.


Kama tunatuma nje ya mkoa wa Dodoma itakuwa hivi jibu.

Karibu, bidhaa hii X bei yake ni xxxx inapatikana mkoa wa Dodoma kwa sasa lakini tunaweza kukutumia mkoa ulipo kwa gharama ya xxxx.

============================

Karibu mkuu tufanye kazi Nina uzoefu mkubwa na mitandao ya kijamii. Pia Nina ujuzi wa mambo ya IT kama kutengeneza tovuti (website), kuisimamia, kufanya malipo ya tovuti Kila mwaka, kusajiri jina la tovuti (website) na mambo mengine.
 
Back
Top Bottom