acha kumdanganya dogo,ya pale ud 1st year field hawana na kuhusu udom haikuwepo kabisa mpaka 3rd year,ila ya pale ardhi field wanazo mbili,kwahiyo kitu kilichobaki ni wewe tu kujishughulisha na shule ila course ipo poa,ila jiandae kusoma masterz maana BA eco haina ishu now.