kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
wakuu pale Ardhi wanatoa Bachelor of Arts in Economics nasikia hii nitofati na ya UDSM japo majina yanafanana.so pliz anaejua tofauti anijuze.!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kivipi mkuu fafanua basi coz umeandika kifupi mno.!me hiyo ya ardhi siielewi hata,wanasoma na vitu ambavyo cjui kama vina implication yoyote katika uchumi
kivipi mkuu fafanua basi coz umeandika kifupi mno.!
anyway,ya ardhi haiko vibaya sana ila wahusika wenyewe wanailalamikia kwamba hawaend fild,ndo yanakua yale yale ya udom.
acha kumdanganya dogo,ya pale ud 1st year field hawana na kuhusu udom haikuwepo kabisa mpaka 3rd year,ila ya pale ardhi field wanazo mbili,kwahiyo kitu kilichobaki ni wewe tu kujishughulisha na shule ila course ipo poa,ila jiandae kusoma masterz maana BA eco haina ishu now.
Ni course ipi yenye ishu siku hizi.... naomba msaada wakoacha kumdanganya dogo,ya pale ud 1st year field hawana na kuhusu udom haikuwepo kabisa mpaka 3rd year,ila ya pale ardhi field wanazo mbili,kwahiyo kitu kilichobaki ni wewe tu kujishughulisha na shule ila course ipo poa,ila jiandae kusoma masterz maana BA eco haina ishu now.
Ni course ipi yenye ishu siku hizi.... naomba msaada wako
medicine,education na agriculture.