Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Hahahahaha kula upambane peke yakoNikizidiwa unisaidie mtoto mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha kula upambane peke yakoNikizidiwa unisaidie mtoto mzuri
ha ha ha huo sio uzalendo
Aliyekuambia senene huleta hamu kwenye tendo la ndoa kakudanganya..kula Tandu uone maajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha anajitahidi kufanya ubunifu
Ukishataja hayo mambo lazima utauza tuha ha ha anajitahidi kufanya ubunifu
Kweli mkuu bila kutumia mikakati thabiti unaweza kulala njaaUkishataja hayo mambo lazima utauza tu
Nasikia wadudu huwa wanaongeza hamu ya tendo,Je ni kweli wakuu?
Hapa nilipo nipo na ndoo nzima natafuna senene....kitakachonitokea sijui. Kama una kitu kingine cha kunishauri kuhusu tendo,tema cheche uwanja ni wako.
NB:
Maisha ni haya haya hakuna mengine
ha ha ha vingine huwa ni sumu mkuu
ha ha ha ha ha
Wakati tayari mnakula sema hamsemi ila dunia ina maajabu yake, wanaume wanaangaika kuturidhisha kitandani sisi huku tunaangaika kuwaridhisha kimuonekano Tuwe na shape bomba, tuwe mzuri wa nje tunawapata kama njugu mawe
HahahahahsKuna ukweli lkn tafiti zinasema mende huongeza nguvu hizo mara and 10 zaidi ya senene
Nakushauri jaribu na mende utuletee mrejesho hapahapa
Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hunaga nguvu za kiume afu unang'ang'ana na michepuko, uku mke, dah wonders shall never end
Kama tafti zimeishazibitisha wee endelea tuu usisubir mrejesho wa jamaaKuna ukweli lkn tafiti zinasema mende huongeza nguvu hizo mara and 10 zaidi ya senene
Nakushauri jaribu na mende utuletee mrejesho hapahapa
Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kumbikumbi nao freshNasikia wadudu huwa wanaongeza hamu ya tendo,Je ni kweli wakuu?
Hapa nilipo nipo na ndoo nzima natafuna senene....kitakachonitokea sijui. Kama una kitu kingine cha kunishauri kuhusu tendo,tema cheche uwanja ni wako.
NB:
Maisha ni haya haya hakuna mengine
Achana na panzi na senene mambo yote bangiKwa hiyo mkuu nini kifanyike