Nasikia ni WASSIRA au PINDA!

Nasikia ni WASSIRA au PINDA!

Ninavyofahamu mimi, Rais anayefuata baada ya JK ni Edward Lowassa.
 
Kuna tetesi na vurumai kuwa wanaoandaliwa kiti cha Uraisi na CCM ni Pinda au Wassira, hao wengine ni sawa na baiskeli za Mbao zimetangulizwa! Ntahama chama kama ndo hivyo!

Anza kuondoka leo! tuliobaki tutamchagua atakayepitishwa na chama. By the way wanafaa sana
 
Ninavyofahamu mimi, Rais anayefuata baada ya JK ni Edward Lowassa.

Hata ukimgonga kwa nyundo inayopasua mawe mlimani haingii kabisa!
Team Vijana! JM ndo mpango wetu ndani ya nec
 
Kuna tetesi na vurumai kuwa wanaoandaliwa kiti cha Uraisi na CCM ni Pinda au Wassira, hao wengine ni sawa na baiskeli za Mbao zimetangulizwa! Ntahama chama kama ndo hivyo!

Wanataka kumpa shida Mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi ........................ atakosa hata kura za kuchakachua!!
 
Kuna tetesi na vurumai kuwa wanaoandaliwa kiti cha Uraisi na CCM ni Pinda au Wassira, hao wengine ni sawa na baiskeli za Mbao zimetangulizwa! Ntahama chama kama ndo hivyo!
Wassira is my President to come 2015.
 
Kuna tetesi na vurumai kuwa wanaoandaliwa kiti cha Uraisi na CCM ni Pinda au Wassira, hao wengine ni sawa na baiskeli za Mbao zimetangulizwa! Ntahama chama kama ndo hivyo!

do u think una impact kwenye chama chako????gombea mwenyewe mdau
 
Kuna tetesi na vurumai kuwa wanaoandaliwa kiti cha Uraisi na CCM ni Pinda au Wassira, hao wengine ni sawa na baiskeli za Mbao zimetangulizwa! Ntahama chama kama ndo hivyo!

Pasco njoo umwone sirluta anamwita mamvi baiskeli ya mbao!
 
Last edited by a moderator:
We! Tema mate chini! wasira? uanataka aje atufie? hana wajukuu? akacheze na wajukuuu! Ebo! bungeni nusu saa tu anakoroma! Hivi ana miaka mingapi huyu babu?
 
Back
Top Bottom