Nasikia Malalamiko Kanda ya ziwa

Nasikia Malalamiko Kanda ya ziwa

Nimeipenda hii. Kwa kibanda kile pale airprt? Du Mwanza international airport!
 
Mwanza ni international airport mkuu, unless kama hufahamu maana ya international airport!

mkuu unaweza kuniambia nini maana ya international airport? mwanza toka lini imeshapandishwa hadhi ya kuwa international airport please tujuze au kuwekewa taa kwenye run way ndio imeshakuwa international airport? tujuze please.
 
Ukifika Dar es Salaam, wakazi wa Temeke nao wanalalamika wametengwa tofouti na wilaya zingine kama Ilala na Kinondoni, wanasema bandari ipo wilaya yao lakini hakuna barabara hakuna maji, hakuna umeme.

sasa mbona ukiambiwa serkali yao ni dhaifu na chama chao ni cha kipuuzi unabisha???
 
sasa mbona ukiambiwa serkali yao ni dhaifu na chama chao ni cha kipuuzi unabisha???

Sio kila shida zako ni CCM ndio imesabaisha shida zingine ni matokeo ya yale uliyoyatengeneza kwa mikono yako.

Mwanza watu wanafanya kazi nenda mitaa ya Libert, Uhuru, Lumumba, Rufiji, Karuta, Nyerere, Bantu, Makongoro, na kwingineko wewe bakia kupiga porojo na kulalamika humu JF.

Subiri Chadema wachukue nchi mtakuwa mnapewa pesa kila siku.
 
CCM INA SHULE ZAKE (hasa za sekondari).....CHAMA GANI KINGINE KINA SHULE HATA MOJA.....? HATA YA CHEKECHEA....? ILI TUNAPOONGEA TUWE NA FIRM GROUND.......!
Tuache porojo tujenge nchi kwa vitendo

wewe acha kudanganya shule za kata ni za ccm?ubongolala mwingine huu, shule za zote ni mali za watanzania wote bila kujali chama ila hizo shule zenyewe haziendani na maendeleo yenyewe.
 
Sio kila shida zako ni CCM ndio imesabaisha shida zingine ni matokeo ya yale uliyoyatengeneza kwa mikono yako.

Mwanza watu wanafanya kazi nenda mitaa ya Libert, Uhuru, Lumumba, Rufiji, Karuta, Nyerere, Bantu, Makongoro, na kwingineko wewe bakia kupiga porojo na kulalamika humu JF.

Subiri Chadema wachukue nchi mtakuwa mnapewa pesa kila siku.

Ritz nadhani hujatafakari ni nini hasa tatizo linalofanya maisha ya watanzania wengi yawe duni, si kweli kwamba watanzania ni wavivu, hebu jiulize hivi unaweza kujaza maji kwenye tenga? hata kama unabidii na nguvu za kumshinda tembo?? hapa watu wanalalamikia system ambayo imeshindwa kabisa kwa miaka 50 kuweka miundo mbinu ambayo inafanya maendeleo ya wananchi yasiwezekane. Fikiria mtu unaamua kuwa mkulima, unanunua pori somewhere, hakuna barabara, hakuna umeme, hakuna maji nk hilo shamba utaliendeleza vipi?? how much money will you need? tunawapigia kelele wakwekazaji wa madini kwamba wanatuibia lakini sababu kubwa ni ujinga wa serkali ya kutokuweka infrastructure, sasa inabidi wao ndo wajenge barabara za kwenda migodini, waweke umeme, waweke maji, wajenge nyumba za wafanyakazi, mashule, hospitali nk nk halafu wakishafanya yote hayo bado wailipe serkali? Botswana wao kwa mfano wanapotaka kufungua mgodi mpya, serkali yao kwanza inajenga barabara hadi eneo hilo, wanaweka maji, umeme, nyumba, dispensary/ hospitali, maduka, mashule nk na baada ya hapo ndo wanawaita wawekezaji na wanagawana asilimia nzuri tu, sasa bongo lala serkali legelege haijui ilifanyalo!!! nimetoa huo mfano ili kusisitiza jinsi serkali ilivyo na wajibu wa kuweka miundo mbinu inayochochea maendeleo ya jamii, na hilo ndo jukumu la serkali yoyote duniani, kuna mambo ambayo watu binafsi siyo jukumu lao kufanya bali ni la serkali. Watanzania hawaitaji kugawiwa hela za bure, siyo walemavu wasioweza kujisaidia, ila wanadai serkali itekeleze majukumu yake. Hata wewe unaweza kushuhudia japo kwa uchache jinsi miundo mbinu inavyowezesha wananchi kujiendeleza, hivi sasa inawezekana kabisa samaki uvuliwe guta, bunda na kuliwa bado akiwa fresh tandahimba. Jiulize ni biashara ngapi zitahusika kufanikisha hilo, mvuvi, mchuuzi, msafirishaji, soko tandahimba, mlaji (ambaye pia ama anafanya kazi au biashara) sasa unaweza kuona network ya jinsi jamii inavyo changanyana kwenye biashara na maendeleo, lakini ili yote hayo yawezekane lazima serkali iweke taratibu na miundo mbinu stahiki kitu ambacho watanzania wamekitegemea kwa ccm miaka 50
 
Peoplessssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
 
Sio kila shida zako ni CCM ndio imesabaisha shida zingine ni matokeo ya yale uliyoyatengeneza kwa mikono yako.

Mwanza watu wanafanya kazi nenda mitaa ya Libert, Uhuru, Lumumba, Rufiji, Karuta, Nyerere, Bantu, Makongoro, na kwingineko wewe bakia kupiga porojo na kulalamika humu JF.

Subiri Chadema wachukue nchi mtakuwa mnapewa pesa kila siku.

Da kweli Ritz akili mgando kwahiyo unamaanisha hao wanaofanya kazi wajenge chuo kikuu, au unamaanisha mbulula
 
GreatThinkers,

Naskia kuna malalamiko kuwa Kanda ya ziwa licha ya kuwa Migodi yote ya Dhahabu iko kule hakuna hata international airport, Mwanza airport ni kama shule ya kata ni kweli?

Nasikia kuna Malalmiko Rocky City Mwanza, Kikwete hadi December 2011 hajaleta hata Sh. kumi ya ruzuku ktk Jiji wakati hadi leo alitakiwa awe ameshatoa 40Bilioni ili kuwakomoa kwa kuwapiga chini ktk Uchaguzi ni kweli?

Nasikia kuna malalamiko, yakuwa lile Jiwe maarufu la Bismack pale Kamanga Ferry lililokuwa ktk noti ya Tsh. 1000 likiwa na sahihi ya Mramba na Balali pia wameiondoa na kuweka kilima cha pale Gairo kikiwa na sahihi ya Mkulo na Ndulu, ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kanda ya ziwa kuwa licha ya kuwa na watu 16mil kati ya 45mil Tz, Katiba imejadiliwa Dodoma, Dar na Zanzibar, hawataki kabisa kuwashirikisha kisha wanataka CCM muwapiguie kura, ni kweli?

Naskia Kuna malalamiko kuwa kanda ya ziwa licha ya kuwa asilimia hamsini ya wasomi wote tanzania wanatoka kule hakuna hata chuo kikuu hata kimoja cha serikali ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kuwa kanda ya ziwa licha ya kuwa na madini yanayoweza zalisha Cement yako pale Shinyanga hakuna hata mpango wa kujenga kiwanda licha ya kuwa 2005 mliahidiwa ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kuwa kanda ya ziwa mkoa mpya wa Simiyu umeomba ile barabara inayopita serengeti mmeomba ipitie Lamadi, bariadi kuja Hydom na kuunga Babati naskia wamekataa ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kuwa kanda ya ziwa kuna hakuna viwanda licha ya kuwa mna bidhaa nyingi lakini vinajengwa vyote pwani eti msafiri mkaombe vibarua Kibaha na bagamoyo ni kweli?

Nasikia kuna malalamiko kanda ya ziwa kuwa ili bandari ya nchi kavu Isaka-Shinyanga vijijini nayo imekufa ili kuimalisha ajira ya pwani na kuanzisha bandari mpya ya nchi kavu Chalinze ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kuwa wilaya nyingi za zamani kama Musoma vijijini,Shinyanga Vijijini hazina hata makao makuu lakini baadhi ya zilizoteuliwa juzi juzi tuu zimejengwa vizuri ile mbaya ni kweli?

Sasa kama ni kweli mnangoja nini- Hameni wote Si Si EM inaonekana wanachumia kwenu halafu wanawekeza kule Chalinze
Hapo red ndipo paliponigusa. Ili reli zote zife; matajiri waweze kusafirisha mizigo kwa kutumia barabara kwa malori yao. Barabara badala ya kukaa miaka 20 itakaa miaka kumi. Mungu isaidie Tz wajue pa kutokea.
 
Yote uliyosema ni kweli, mimi ni mojawapo ya waathirika wananchi wa kanda ya ziwa. Napenda kuogezea
1. Zaidi ya asilimia 99 ya watu wa kanda ya ziwa hawana maji ya bomba licha ya kuzungukwa na ziwa la pili kwa ukubwa duniani
2. zaidi ya asilimia 99 hawana umeme
3. Asilimia >90 ya watu hawajawahi kuona barabara ya rami
4. Shule za msingi watoto hawapewi chakula, wanakaa chini, madarasa yameezekwa kwa nyasi.
5. Shule za secondary za kata hazina umeme, walimu, vyoo, mabweni nk
Unaweza kuongezea pia, CCM NI MAAFA YA KANDA YA ZIWA.

Mko wengi mno....mkisoma mtatisha....
 
CCM INA SHULE ZAKE (hasa za sekondari).....CHAMA GANI KINGINE KINA SHULE HATA MOJA.....? HATA YA CHEKECHEA....? ILI TUNAPOONGEA TUWE NA FIRM GROUND.......!
Tuache porojo tujenge nchi kwa vitendo

Mkuu Mahesabu umekosea hili ni jukwaa la great thinkers siyo wabwiya unga. Tafakari chukua hatua!!!!!!!!!!!!!!
 
greatthinkers,

naskia kuna malalamiko kuwa kanda ya ziwa licha ya kuwa migodi yote ya dhahabu iko kule hakuna hata international airport, mwanza airport ni kama shule ya kata ni kweli?

Nasikia kuna malalmiko rocky city mwanza, kikwete hadi december 2011 hajaleta hata sh. Kumi ya ruzuku ktk jiji wakati hadi leo alitakiwa awe ameshatoa 40bilioni ili kuwakomoa kwa kuwapiga chini ktk uchaguzi ni kweli?

Nasikia kuna malalamiko, yakuwa lile jiwe maarufu la bismack pale kamanga ferry lililokuwa ktk noti ya tsh. 1000 likiwa na sahihi ya mramba na balali pia wameiondoa na kuweka kilima cha pale gairo kikiwa na sahihi ya mkulo na ndulu, ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kanda ya ziwa kuwa licha ya kuwa na watu 16mil kati ya 45mil tz, katiba imejadiliwa dodoma, dar na zanzibar, hawataki kabisa kuwashirikisha kisha wanataka ccm muwapiguie kura, ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kuwa kanda ya ziwa licha ya kuwa asilimia hamsini ya wasomi wote tanzania wanatoka kule hakuna hata chuo kikuu hata kimoja cha serikali ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kuwa kanda ya ziwa licha ya kuwa na madini yanayoweza zalisha cement yako pale shinyanga hakuna hata mpango wa kujenga kiwanda licha ya kuwa 2005 mliahidiwa ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kuwa kanda ya ziwa mkoa mpya wa simiyu umeomba ile barabara inayopita serengeti mmeomba ipitie lamadi, bariadi kuja hydom na kuunga babati naskia wamekataa ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kuwa kanda ya ziwa kuna hakuna viwanda licha ya kuwa mna bidhaa nyingi lakini vinajengwa vyote pwani eti msafiri mkaombe vibarua kibaha na bagamoyo ni kweli?

Nasikia kuna malalamiko kanda ya ziwa kuwa ili bandari ya nchi kavu isaka-shinyanga vijijini nayo imekufa ili kuimalisha ajira ya pwani na kuanzisha bandari mpya ya nchi kavu chalinze ni kweli?

Naskia kuna malalamiko kuwa wilaya nyingi za zamani kama musoma vijijini,shinyanga vijijini hazina hata makao makuu lakini baadhi ya zilizoteuliwa juzi juzi tuu zimejengwa vizuri ile mbaya ni kweli?

Sasa kama ni kweli mnangoja nini- hameni wote si si em inaonekana wanachumia kwenu halafu wanawekeza kule chalinze
rudi tumboni uzaliwe kanda ya ziwa.
 
Mko wengi mno....mkisoma mtatisha....
Wewe mshari huna lolote. Takwimu zako zinafaa sana Kwenye mchezo wa pwagu na pwaguzi. Toa takwimu za ukweli na siyo kusanifu wana kanda ya ziwa. Namba 1 hadi 3 Uongo mtupu. Fanya utafiti wa kina.
 
2005 ccm ilitumia ubaguzi kwa kumdhalilisha waziri mkuu mstaafu,salim ahmed salim kwa kusema ni muarabu,ccm hiyo hiyo 2012 imemteua mwarabu mweusi(msomali)abdurahamani kinana.kinana ni mmoja wa wamiliki wa kampuni yenye tender ndani ya bomba la gesi mtwara dar,ccm chini ya kikwete imempa kazi kinana kuendeleza na kulinda wizi wa rasilimali ya nchi.serikali ya ccm chini ya kikwete inatumia polisi kukandamiza demokrasia kwa kuzuia mikutano mingi ya chadema kwa kisingizio cha kutokuwa na polisi wa kutosha.lakini wanaposisitiza kuwa wataendelea na mikutano yao idadi kubwa ya polisi inasambazwa kwa kuzuia mikutano yao.
Sasa litakalotokea tanzania ni umwagaji mwingi wa damu hadi kufikia 2015 sababu serikari chafu ya ccm haisikilizi wananchi bali inawalinda wachache wao wezi wa mali ya taifa letu,tumeona polisi wakiuwa raia kuanzia arusha,tabora,morogoro,mbeya ,songea na hakuna aliyechukuliwa hatua yeyote kwa mauwaji hayo.wananchi sasa wameanza kujibu mapigo kwa kuua askari,na kuna taafifa kuwa sasa ni jino kwa jino raia wakiuwawa na polisi mchana raia watauwa polisi usiku sasa amani iko wapi kama si ubaguzi uaolelewa na serikari ya ccm?
Mod ukiifuta hii habari nitakuwa nairidisha kila kukicha kwa watu mbalimbali mpaka ujumbe huu uenezwe kwa wapenda amani kote tanzania
 
Nasikia kuna malalamiko pale wilayani serengeti mkuu wa kaya kauza eneo kwa bilionea Jones Paul huku yeye akijenga hoteli ya kifahari Bilila lodge. Wananchi wa pale wamesema wanaandamana.
 
Back
Top Bottom