Baadhi ya dawa e.g. Quinine zinasababisha hali hiyo. Na uzuri ni kwamba hali hiyo huisha yenyewe ingawaje kwa wengine inaweza isiishe. waone ENT surgeons au Neurologist kwa ushauri wa uhakika
Ulikuwa unafanya kazi ya aina gani mpaka ikakuletea hiyo shida au ulitumia dawa(mfano mzuri ni quinine) au imeanza yenyewe tu? nieleze ili nikupe uzoefu mimi nina tatizo hilo kwa miaka 11 sasa,no cure ila unaweza kupunguza hiyo hali, ingawa inategemea chanzo ni kitu gani.
Nenda Muhimbili ENT kitengo hiki kina madaktari bingwa watakusaidia,mimi nilikuwa nafanya kazi sehemu zenye makelele sana ikanisababishia hiyo hali,baada ya kufanyiwa vipimo vyote tena vya kisasa na kupewa madawa ikaonekana siwezi tena kupona ila ni kuepuka zaidi mazingira yanayoweza kuuongeza hiyo hali na so far ninatumia kifaa cha kuongeza usikivu.Kikazi mimi ni mhasibu. Nadhani itakuwa imeanza yenyewe. Nishauri tafadhali
Jaribu kutumia mafuta ya samaki ( Cod Liver Oil, Omega 3 etc) ndani ya wiki 1 tatizo litakwisha kabisa