Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,976
- 32,276
Dah!
Mkuu,lakini alinianza mwenyewe!
We we we,
haya ya wapi haya?
Dah!
Mkuu,lakini alinianza mwenyewe!
We we we,
haya ya wapi haya?
Una uhakika kwa 7bu umepata possible? Kwi kwi kwi
Ndo maana nimekustua. Nina kitu kipyaaaaa
Ya kuonjeshana.
Nani alileta proposal ya hii idea?
mimi mwenyewe linanifanya nilisahau jukwaa la siasa.Si unaona serikali imewekeza mabilioni kuwaondoa kunguru wa dar,acha niwekeze,ujue nini cacico,wanatufanyia makusudi baada ya kuona jukwaa la chitchat linaimarika,halafu ujue hakuna jukwaa rahisi ku break barriers kama chichat,kuna watu kinawauma.
Sina jinsi,kesho naamkia anjun mafia,kuna genge la vinuka mkojo wameamua kuvamia chichat kwa lengo la kuiparanganya,dawa yao ni ndogo,ni kuwapiga albadr,haiwezekani jitu lilale likiamka lije litutukane chichat bila sababu, nyie wana wa kutoka pachafu mnaokuja kututukana hapa chichat eti hatuna akili jiandaeni kuvaa suruali pana bila kufuli,ku....la mafyampuzi yenu.