Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Nikizama mtaniibua.
Halafu nakutamani wewe!! Hujijui tu.
Wewee,
hakuna wa kunipora mimi kwa Rutta wangu,
Me na Rutta damdam.
Nikinywa maji namuona kwenye glasi,
Nikilamba koni namuona kwenye Utamu,
Chezeiya mapenzi.
Kwenye kulamba koni sijaelewa aisee,we umeelewa?
Afu mke wa mtu anakuwaga mtamu sana,unataka unionje?
Shahidi Bishanga.
Ngoja wiki hii niende kigoma!
Ndio utafanya nini huko kigoma?
Sasa tusiongee yote hapa,twende kwenye PM lol!
Naona umechoka kuishi kabisa!
Kesho haamki mtu!
Tumeshaanza kutishiana mizizi!
Dah,mi nilikuwa nawapima kwa jinsi gani mnalipenda jukwaa!
Sijui kama hata kulala uta lala kesho!