Ameacha madawq?God bless.
Mashabiki wa Ninja tumefurahi sana kwa alicho kifanya Chidy kwenye ngoma Nasikia harufu.
Huyu ndio Chidy tulie mjua.
Chidy umefunika sana kwenye hilo goma. Kwa ulicho kifanya kwenye hilo Goma kama ni mchezaji basi we Pacome.
Simu ziite simu ziite.
Toa taarifa kamali mkuu, mbona kama udaku vileGod bless.
Mashabiki wa Ninja tumefurahi sana kwa alicho kifanya Chidy kwenye ngoma Nasikia harufu.
Huyu ndio Chidy tulie mjua.
Chidy umefunika sana kwenye hilo goma. Kwa ulicho kifanya kwenye hilo Goma kama ni mchezaji basi we Pacome.
Simu ziite simu ziite.
Insha'allah maana yake niniTuseme Insha'allah
Chid ameshirikishwa kwenye Ngoma ya nasikia Harusu ya Roma, kwenye hiyo ngoma Chid ambaye alionekana kupotea kwenye game ni kama imemzindua na kuna kila dalili ya yeye kurudi vema kwenye game hilo.Toa taarifa kamali mkuu, mbona kama udaku vile
Asante kwa kunisaidia mkuuChid ameshirikishwa kwenye Ngoma ya nasikia Harusu ya Roma, kwenye hiyo ngoma Chid ambaye alionekana kupotea kwenye game ni kama imemzindua na kuna kila dalili ya yeye kurudi vema kwenye game hilo.
Zaidi pita na link hiyo ya hiyo ngoma
View: https://www.youtube.com/watch?v=KIT59aHfNlA
Ataacha tu tuseme Insha'allahChid ni yule yule, mkali siku zote, shida unga, aache unga mtamuona chid yule yule wa mashaallah, daresalaam stand up n.k.
Alikuja na muda ft q chief, mbona ngoma ilikuwa kali tu, shida unga, aache madawa, ndioa adui wake.
Insha'allah inaenda na jitihada sheikh wangu.Ataacha tu tuseme Insha'allah
Ilee muda ni 🔥🔥🔥Chid ni yule yule, mkali siku zote, shida unga, aache unga mtamuona chid yule yule wa mashaallah, daresalaam stand up n.k.
Alikuja na muda ft q chief, mbona ngoma ilikuwa kali tu, shida unga, aache madawa, ndioa adui wake.