Huna lolote hasara kwa taifa mzururajiNimeamua kuja na id mpya ili kulinda heshima yangu,
Nianzie hapa miaka miwili iliyopita nilipata mpenzi binti fulani asiye na makuu mwenye aibu na staha zake, Mwanaume nikajiweka jumla maana tabia zake zilinivutia,.
Mapenzi moto moto , basi baada ya mapenzi kushamiri tukaw tumezoeana sana , Akawa anakuja home tunaangalia moviea za utupu day one katika kutuzama ikafika point mdau anapiga deki uani, Mara kaendela na mambo mengine yasiyo na staha kwa jamii, .
Binti akasema tujaribu nikapinga kila siku akawa anahimiza, anasema sitaki kumpa raha kama alizokuwa anazipata mwanamke mwenzie, simpendi basi anatafuta wa kumfanya hivyo , kidume nkamwambia atulie next week ajiandae , ok the day ikafika kwa kuwa niliahidi ikabidi nifanye ila kishingo upande baada ya hapo nikaweka msimamo kuwa siwezi kumwaribu mwanamke ambaye nina guture nae nitakuwa napiga deki tuu akakubali .
Zaidi ya mwaka na nusu, ukapita nikawa ninadeki tuu , juzi kasema panawasha panahitaji kukunwa , nikapinga nkasema nitadeki kama siku zote , .Kanuna kaondoka mpaka leo sijamwona anachodai anatafuta mwanaume wa kumfanya hivyo , kiukweli siwezi rudia tena hiyo makitu japo mwanzoni nilifanya ila Bibie nampenda sana na home anajulikana kama mchumba na kwao ninajulikana.
Nipo njia panda wakuu
Ulifanya jambo la kijinga sana. Yaani ulidhalilisha utu wako kwa kupiga deki kisa unampenda? Lazima dishi lako limeyumbaNimeamua kuja na id mpya ili kulinda heshima yangu,
Nianzie hapa miaka miwili iliyopita nilipata mpenzi binti fulani asiye na makuu mwenye aibu na staha zake, Mwanaume nikajiweka jumla maana tabia zake zilinivutia,.
Mapenzi moto moto , basi baada ya mapenzi kushamiri tukaw tumezoeana sana , Akawa anakuja home tunaangalia moviea za utupu day one katika kutuzama ikafika point mdau anapiga deki uani, Mara kaendela na mambo mengine yasiyo na staha kwa jamii, .
Binti akasema tujaribu nikapinga kila siku akawa anahimiza, anasema sitaki kumpa raha kama alizokuwa anazipata mwanamke mwenzie, simpendi basi anatafuta wa kumfanya hivyo , kidume nkamwambia atulie next week ajiandae , ok the day ikafika kwa kuwa niliahidi ikabidi nifanye ila kishingo upande baada ya hapo nikaweka msimamo kuwa siwezi kumwaribu mwanamke ambaye nina guture nae nitakuwa napiga deki tuu akakubali .
Zaidi ya mwaka na nusu, ukapita nikawa ninadeki tuu , juzi kasema panawasha panahitaji kukunwa , nikapinga nkasema nitadeki kama siku zote , .Kanuna kaondoka mpaka leo sijamwona anachodai anatafuta mwanaume wa kumfanya hivyo , kiukweli siwezi rudia tena hiyo makitu japo mwanzoni nilifanya ila Bibie nampenda sana na home anajulikana kama mchumba na kwao ninajulikana.
Nipo njia panda wakuu
KAMA UKO NJIA PANDA CHAGUA PA KWENDA, UFANYE UFEDHULI KUMFURAHISHA MWENZI WAKO ETI KISA TU UNAMPENDA UA UFANYE KILE KILICHO CHEMA NA SAHIHI KWAKO, VIJANA CJUI MNAPATA UJASIRI WAPI WA KUFANYA MAKITU KAMA HAYA, MWISHO WA SIKU MNAKUJA KUINGIZA SERIKALI KTK MAGHARAMA YA MADAWA YAKUWATIBU VITU AMBAVYO VINAEPUKIKA KIURAHISI, ANIMALS NOWDAYS HAVE BECOME MORE INTELLIGENTS THAN HUMAN BEINGS OF 21st CENTURY WHEN IT COMES TO DIGNITY, RESPECT AND RIGHT THING TO DO IN LOVE.Nimeamua kuja na id mpya ili kulinda heshima yangu,
Nianzie hapa miaka miwili iliyopita nilipata mpenzi binti fulani asiye na makuu mwenye aibu na staha zake, Mwanaume nikajiweka jumla maana tabia zake zilinivutia,.
Mapenzi moto moto , basi baada ya mapenzi kushamiri tukaw tumezoeana sana , Akawa anakuja home tunaangalia moviea za utupu day one katika kutuzama ikafika point mdau anapiga deki uani, Mara kaendela na mambo mengine yasiyo na staha kwa jamii, .
Binti akasema tujaribu nikapinga kila siku akawa anahimiza, anasema sitaki kumpa raha kama alizokuwa anazipata mwanamke mwenzie, simpendi basi anatafuta wa kumfanya hivyo , kidume nkamwambia atulie next week ajiandae , ok the day ikafika kwa kuwa niliahidi ikabidi nifanye ila kishingo upande baada ya hapo nikaweka msimamo kuwa siwezi kumwaribu mwanamke ambaye nina guture nae nitakuwa napiga deki tuu akakubali .
Zaidi ya mwaka na nusu, ukapita nikawa ninadeki tuu , juzi kasema panawasha panahitaji kukunwa , nikapinga nkasema nitadeki kama siku zote , .Kanuna kaondoka mpaka leo sijamwona anachodai anatafuta mwanaume wa kumfanya hivyo , kiukweli siwezi rudia tena hiyo makitu japo mwanzoni nilifanya ila Bibie nampenda sana na home anajulikana kama mchumba na kwao ninajulikana.
Nipo njia panda wakuu
Unaangalia hayo makitu na future wife mkuu?; hauko serious!
Kupiga deki ndo nini eti jamanii, hapo mmeniacha!




Lakin ujue yeye atakuwa anakunwa huko nje? What's next n kwamba utaletewa magonjwa yasiyotibika.sina nia ya kumwacha mkuu , Ningekuwa na nia hiyo ningemaliza kila kitu ila najuta hata kupiga hiyo deki mkuu
Ni gentlamucynsItakuwa vizuri kama utatujulisha id yako ya siku zote ili tu connect dots tupate solution ya hili tatizo lako