Nashukuru Mungu kwa kunipa uzuri

Nashukuru Mungu kwa kunipa uzuri

Mamboz.

Kiukweli nashukuru Mungu kwa kuniumba mzuri na kunipa na shape.

Nimepata maisha connection na vingi kupitia huu uzuri wangu mie.

Kuna yeyote uzuri umekusaidia ?

Bila picha?
 
Mamboz.

Kiukweli nashukuru Mungu kwa kuniumba mzuri na kunipa na shape.

Nimepata maisha connection na vingi kupitia huu uzuri wangu mie.

Kuna yeyote uzuri umekusaidia ?
Huo uzuri haujakuletea ukimwi bado?
 
Mamboz.

Kiukweli nashukuru Mungu kwa kuniumba mzuri na kunipa na shape.

Nimepata maisha connection na vingi kupitia huu uzuri wangu mie.

Kuna yeyote uzuri umekusaidia ?
Nimeamini huwezi kupewa vyote, ukapewa uzuri na shepu ukanyimwa akili...sio mbaya
 
Come on, pole. What’s wrong?
I'm like a smartphone without a signal najaribu kujiconnect kwa Ms eyes lakini napata feeďback network iko down 😅 kiddin

Niko good sana,nami niko njiani kuelekea kulala sasa ,kutesa kwa zamu.
 
I'm like a smartphone without a signal najaribu kujiconnect kwa Ms eyes lakini napata feeďback network iko down 😅 kiddin

Niko good sana,nami niko njiani kuelekea kulala sasa ,kutesa kwa zamu.
Haha, pole.

Ulikesha?
 
Back
Top Bottom