Nashukuru Mungu kwa hatua hii katika mahusiano.

Nashukuru Mungu kwa hatua hii katika mahusiano.

mwaka mzima katika mahusiano!!!!!!!!!????? what are you waiting.!!!,????????????? I doubt.......!
 
Hatimaye leo tumetimiza mwaka mwingine mpya katika mahusiano mimi na mwenzangu, nashukuru Mungu kwa uzima na afya njema, tunapendana kwa nyakati zote, hata nilipopata ajali alikuwa bega kwa bega nami. Ee Mungu tusaidie kutimiza yale malengo yetu tuliyopanga. Nakupenda sana chanda chema wangu ............... Happy New year in our relationship.:busu wimbo wetu wa mwaka ni upendo wa kweli by Ambwene mwasonge.

Man dont express their emotions, they show their wealth...Chinua Achebe in THINGS FALL APART...Nilitegemea maneno kama haya kuzungumwa na mwanamke kumbe hata watoto wa kiume husema pia?
 
Man dont express their emotions, they show their wealth...Chinua Achebe in THINGS FALL APART...Nilitegemea maneno kama haya kuzungumwa na mwanamke kumbe hata watoto wa kiume husema pia?

huo ulikuwa ni mtazamo wake yeye chinua kwenye hiko kitabu, kwa kuwa wewe unakiamini basi simamia misimamo yake, na tunatofautiana uelewa pia.
 
heheehe chaggaz hawataki mwanaume lelemama lol

teh, teh, teh, umeona eeh, lazima ujitume, ila kwa maisha ya sasa lazima mtu uwe strong katika kujijenga zaidi, makabila yote yamebadilika.
 
Back
Top Bottom