Nashukuru Mungu kwa hatua hii katika mahusiano.

Nashukuru Mungu kwa hatua hii katika mahusiano.

Hatimaye leo tumetimiza mwaka mwingine mpya katika mahusiano mimi na mwenzangu, nashukuru Mungu kwa uzima na afya njema, tunapendana kwa nyakati zote, hata nilipopata ajali alikuwa bega kwa bega nami. Ee Mungu tusaidie kutimiza yale malengo yetu tuliyopanga. Nakupenda sana chanda chema wangu ............... Happy New year in our relationship.:busu wimbo wetu wa mwaka ni upendo wa kweli by Ambwene mwasonge.

mkuu hupaswi kumshukuru Mungu kwenye uzinzi, hebu tumuogope huyu mungu basi.
 
Tumezoea anniversary za ndoa, za uchumba hapana! Mwaweza kaa hata miaka sita mkiitana honey na mkakaa mwaka mmoja ndani ya ndoa kila mtu anaingia na kutokea kwake!

Mi binafsi na mama toto yangu nawataka mfunge ndoa asap!
 
asante kwa ushauri, nimeuchukua nami nitaufanyia kazi haraka sana, kwani ndio lengo letu hilo.
Mkuu usimpe nafasi ibilisi mambo ya kukaa na mwanamke miaka minne sijui mitano ya nini? unamgegeda tuu si sawa unamshusha thamani pia .Mambo yakikaa sawa vuta kabisa ndani
 
mmmh ndo maaana kanikimbia,.....Kijana leo usiache kuongeza idadi ya nyumba na magari kuweka heshima home la sivyo utasikia chasaka nyingi... joke

haaaaaaa, usijali chezea kuulizwa umeingisa sh ngapi? anataka kabati la mbeo kama sijakosea lijae muda wote ukifungua harufu ya mazagazaga, sio unafungua na kukutana na harufu ya mende.
 
haaaaaaa, usijali chezea kuulizwa umeingisa sh ngapi? anataka kabati la mbeo kama sijakosea lijae muda wote ukifungua harufu ya mazagazaga, sio unafungua na kukutana na harufu ya mende.

sawa kabisa mkuu fanya kazi ndiyo heshima... na si kufanya mapenzi sawa shemeji
 
Back
Top Bottom