Nashukuru Mungu kwa hatua hii katika mahusiano.

Nashukuru Mungu kwa hatua hii katika mahusiano.

Kijana leo

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
2,860
Reaction score
812
Hatimaye leo tumetimiza mwaka mwingine mpya katika mahusiano mimi na mwenzangu, nashukuru Mungu kwa uzima na afya njema, tunapendana kwa nyakati zote, hata nilipopata ajali alikuwa bega kwa bega nami. Ee Mungu tusaidie kutimiza yale malengo yetu tuliyopanga. Nakupenda sana chanda chema wangu ............... Happy New year in our relationship.:busu wimbo wetu wa mwaka ni upendo wa kweli by Ambwene mwasonge.
 
natafuta usingizi hivi
kwa muda huu uliobakia ngoja nikutumie wa buku 8 ili saa 11 kama waishi dar uwahi foleni, okey pouwa usiku mwema, wacha na mimi nilale, niwapishe wachawi mida yao hii inakaribia, ila msimu huu wa brazuka itakula kwao maana game zingine zinaisha saa 9.
 
buhahaha times changes ebbo akikuchechia unajuaje bana ?
mi nilifikiri hatua ya kuoa kumbe mmefikisha mwaka ,
usimmege kisela noumer bana
 
Hongera sana, inabidi umuoe hata kama ni leo kama umeweza vumiana kiasi hiko mnaweza vumilina zaidi akiwa ndani, ila angalizo langu ni kuwa kadri unavyochelewa ndiyo shetani anakaa ndani yake, rafiki yangu wa karibu sana yeye na mwenza wake last for 6 yrs na hakikueleweka!
 
Je,ni mapenzi ya Mungu tuishi bila kufunga ndoa kama kaka(ME) na dada(KE) ? Si vema ! TAFAKARINI NA MCHUKUE HATUA X 1 TU
 
Hongera sana, inabidi umuoe hata kama ni leo kama umeweza vumiana kiasi hiko mnaweza vumilina zaidi akiwa ndani, ila angalizo langu ni kuwa kadri unavyochelewa ndiyo shetani anakaa ndani yake, rafiki yangu wa karibu sana yeye na mwenza wake last for 6 yrs na hakikueleweka!

For 6 years!
Mtaani kwetu huwa tunauita "UCHUMBA SUGU"
 
buhahaha times changes ebbo akikuchechia unajuaje bana ?
mi nilifikiri hatua ya kuoa kumbe mmefikisha mwaka ,
usimmege kisela noumer bana
usijali wangu, ndio tunaelekea huko, na hivi karibuni Mungu atasaidia kufikia lengo hilo, kuhusu kunichenjia ikitokea aisee ntakuwa sina option.
 
Hongera sana, inabidi umuoe hata kama ni leo kama umeweza vumiana kiasi hiko mnaweza vumilina zaidi akiwa ndani, ila angalizo langu ni kuwa kadri unavyochelewa ndiyo shetani anakaa ndani yake, rafiki yangu wa karibu sana yeye na mwenza wake last for 6 yrs na hakikueleweka!
asante kwa ushauri, nimeuchukua nami nitaufanyia kazi haraka sana, kwani ndio lengo letu hilo.
 
Back
Top Bottom