Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,623
- 40,176
Mental caseNashukuru sana kuzaliwa nikiwa muislam. Ninaomba sana Allah aniondoshe ktk dunia hii nikiwa ni muislam tena muumin. Ningalikua nimezaliwa nje ya uislam ingalikuaje?
Mental caseNashukuru sana kuzaliwa nikiwa muislam. Ninaomba sana Allah aniondoshe ktk dunia hii nikiwa ni muislam tena muumin. Ningalikua nimezaliwa nje ya uislam ingalikuaje?
Makafiri ndo wakwanza kuwepo ndo wakafata waliosilimu kwa kuwacopy makafiri.Tukupige maana unaleta ukafiri hapa
Hajaongelea lolote, licha ya kushukuru kuwa muislamu, hivyo unamlaumu kwa lipi?Ni ukweli usiopingika kuwa,maendeleo ya Afrika hayatakuja kamwe kama sisi wenyewe tutakuwa na mentality ya kama mleta mada.
We jamaa ni kafiri bila shakaMakafiri ndo wakwanza kuwepo ndo wakafata waliosilimu kwa kuwacopy makafiri.
We pia ni kafiri tuWe jamaa ni kafiri bila shaka