Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,402
- 54,846
We jamaa tunakutafutaUnashukuru nini sasa??! wakati nyie Waislam mnasema kila mtu hapa duniani huwa anazaliwa Muislam automatic kabisa ila huwa anabadirishwa dini akishazaliwa kutegemeana na wazaz au jamii alipozaliwa. Au hii hoja ni ya uongo wapo wengine hawazaliwi waislam kwamba kwako imekuwa bahati kuzaliwa muislam?