Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,816
- 58,446
We jamaa tunakutafutaUnashukuru nini sasa??! wakati nyie Waislam mnasema kila mtu hapa duniani huwa anazaliwa Muislam automatic kabisa ila huwa anabadirishwa dini akishazaliwa kutegemeana na wazaz au jamii alipozaliwa. Au hii hoja ni ya uongo wapo wengine hawazaliwi waislam kwamba kwako imekuwa bahati kuzaliwa muislam?
Mniteke auWe jamaa tunakutafuta
kazi kwelikweli!, Mungu ana kazi ya ziada sana huko aliko!, nimekusamehe bure tu.Hata wewe umekuja kwa muingiliano wa watu 2. Kama wazee wako wasingekutana ungalikuja vipi duniani?
Shukuru tena kwa kutuambia sisi Walimwengu tujue.Nashukuru sana kuzaliwa nikiwa muislam. Ninaomba sana Allah aniondoshe ktk dunia hii nikiwa ni muislam tena muumin. Ningalikua nimezaliwa nje ya uislam ingalikuaje?
JidanganyeMungu ni upendo wala hana dini.
Wew ndio unaejidanganya tena bado upo gizaniJidanganye
Aamini thummah aaminNashukuru sana kuzaliwa nikiwa muislam. Ninaomba sana Allah aniondoshe ktk dunia hii nikiwa ni muislam tena muumin. Ningalikua nimezaliwa nje ya uislam ingalikuaje?
Uliukuta uislamu na si kuzaliwa muislamu. Ukristo, uislam, na dini zingine ni utapeli uliovuka mipaka.Nashukuru sana kuzaliwa nikiwa muislam. Ninaomba sana Allah aniondoshe ktk dunia hii nikiwa ni muislam tena muumin. Ningalikua nimezaliwa nje ya uislam ingalikuaje?
Wapi?JESUS IS COMING AGAIN
Be ready,Get Prepared!
Mkuu, Soma tena sentesi yako ya kwanza, hapo ndipo nilipoulizia swali mimi. Unashukuru kama vile wengine huwa hawazaliwi waIslamUnashukuru nini sasa??! wakati nyie Waislam mnasema kila mtu hapa duniani huwa anazaliwa Muislam automatic kabisa ila huwa anabadirishwa dini akishazaliwa kutegemeana na wazaz au jamii alipozaliwa. Au hii hoja ni ya uongo wapo wengine hawazaliwi waislam kwamba kwako imekuwa bahati kuzaliwa muislam?
Mkuu wewe ndo yule shekh uliahidi kuwafyeka shingo kwajambia waandamanaji?!Mimi najivunia uislamu kwa kunifundisha kutokuwa fisi, yaani saa yoyote naweza kuliamsha, hatukai kizembezembe muda wowote uko attention kukata mtu kelbu za uso
Huwa hatucheki na kima
muislam wa buza nywere kipilipiliNashukuru sana kuzaliwa nikiwa muislam. Ninaomba sana Allah aniondoshe ktk dunia hii nikiwa ni muislam tena muumin. Ningalikua nimezaliwa nje ya uislam ingalikuaje?
Tukupige maana unaleta ukafiri hapaMniteke au