Nashukuru kuzaliwa muislamu

Nashukuru kuzaliwa muislamu

Nashukuru sana kuzaliwa nikiwa muislam. Ninaomba sana Allah aniondoshe ktk dunia hii nikiwa ni muislam tena muumin. Ningalikua nimezaliwa nje ya uislam ingalikuaje?
downloadfile-8.jpg
 
Nashukuru sana kuzaliwa nikiwa muislam. Ninaomba sana Allah aniondoshe ktk dunia hii nikiwa ni muislam tena muumin. Ningalikua nimezaliwa nje ya uislam ingalikuaje?
Dini Niko sehemu gani ya mwili wako?
 
Nashukuru sana kuzaliwa nikiwa muislam. Ninaomba sana Allah aniondoshe ktk dunia hii nikiwa ni muislam tena muumin. Ningalikua nimezaliwa nje ya uislam ingalikuaje?
Unashukuru nini sasa??! wakati nyie Waislam mnasema kila mtu hapa duniani huwa anazaliwa Muislam automatic kabisa ila huwa anabadirishwa dini akishazaliwa kutegemeana na wazaz au jamii alipozaliwa. Au hii hoja ni ya uongo wapo wengine hawazaliwi waislam kwamba kwako imekuwa bahati kuzaliwa muislam?
 
Nashukuru sana kuzaliwa nikiwa muislam. Ninaomba sana Allah aniondoshe ktk dunia hii nikiwa ni muislam tena muumin. Ningalikua nimezaliwa nje ya uislam ingalikuaje?
Kwa nini?
 
Dini zote tuliletewa kwa meli, iwe ukristo wa mzungu au uislamu wa mwarabu, at the end of day swali lina baki kwako, tusingeletewa izi dini ungekuwa kundi gani!?
 
Unashukuru nini sasa??! wakati nyie Waislam mnasema kila mtu hapa duniani huwa anazaliwa Muislam automatic kabisa ila huwa anabadirishwa dini akishazaliwa kutegemeana na wazaz au jamii alipozaliwa. Au hii hoja ni ya uongo wapo wengine hawazaliwi waislam kwamba kwako imekuwa bahati kuzaliwa muislam?
Umeelewa vibaya. Binaadam yoyote akizaliwa muislam. Jee kama wazee sio waislam wewe mtoto baada ya kubaleghe tu yaani miaka 12 utaingia uislam? Si mpaka upate hoja za kuonesha huko uliko siko? Jee kama hukubahatika kujua ukweli itakuaje?
 
Dini zote tuliletewa kwa meli, iwe ukristo wa mzungu au uislamu wa mwarabu, at the end of day swali lina baki kwako, tusingeletewa izi dini ungekuwa kundi gani!?
Hata wewe umekuja kwa muingiliano wa watu 2. Kama wazee wako wasingekutana ungalikuja vipi duniani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom