wewe utakuwa una matatizo 'upstairs' sio bure asee!!..tatizo miafrika imejaa mawazo ya ngono mda wote!!..
Mwezi mmoja tu na unamuita mchumba!!!
Sasa je, atanunuaje mbuzi kwenye gunia???
Hata mimi.....Na mimi natafuta.
Hata mimi.....
we ulitaka miaka mingapi ndo nimuite mchumba?
We mbona sikuelewi umekasirika nini? Kwani huamini kama wawezapata mwenza kupitia mtandao? afu unakauli mbaya mno mana kwa kusoma yeye alichoandika na ulichojibu mbona naona wewe ndo haupo sawa upstairs. Grow up and get a life dude.
We mbona sikuelewi umekasirika nini? Kwani huamini kama wawezapata mwenza kupitia mtandao? afu unakauli mbaya mno mana kwa kusoma yeye alichoandika na ulichojibu mbona naona wewe ndo haupo sawa upstairs. Grow up and get a life dude.