Nashuku sana watanzania kwa kumpuuza Polepole na mafisadi wenzie

Nashuku sana watanzania kwa kumpuuza Polepole na mafisadi wenzie

Imebaki kundi dogo la ambao angalau wana uhakika wa kesho yao ndo wanamfatilia polepole ila sisi walala hoi tumempuuza polepole na mafisadi wenzie
Acha kuvuta Bangi kisha kuja hapa na ufala wako nani kampuuza polepole? Wewe peke yako ndiyo umempuuza lakini watanzania wenye Akili Timanu wanamwelewa polepole vizuri sasa
 
ibilisi wa ccm wapo uchi safari hii

Ninakazia:

IMG_20240428_070927.jpg
 
Ibilisi wakubwa nyie safari hii hamtoboi kwa upumbavu wenu
Imebaki kundi dogo la ambao angalau wana uhakika wa kesho yao ndo wanamfatilia polepole ila sisi walala hoi tumempuuza polepole na mafisadi wenzie
i
 
Polepole ukiona likes anazopata kwenye account zake za social media hatumpuuzi ameongea ukweli mpaka raha ila Mungu fundi kuna kitu kitatokea mpaka wewe ulirandika hapa utashangaa .Msitupuuze tunaoendelea na NOVENA
 
Imebaki kundi dogo la ambao angalau wana uhakika wa kesho yao ndo wanamfatilia polepole ila sisi walala hoi tumempuuza polepole na mafisadi wenzie
Shoga,BWABWA PUNGA, unatafuta MTU WA KUKUFUMUA MARINDA 😅😅😅🤣🤣😄😄
 
Back
Top Bottom