Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,922
- 3,951
Acha upuuzi hakuna manzi atafika chuo na bikra lbd mwanaume ukiwa peke yako ulimwenguni. Hakuna madanga kama hao
Acha upuuzi hakuna manzi atafika chuo na bikra lbd mwanaume ukiwa peke yako ulimwenguni. Hakuna madanga kama hao
Poa mkuustory yako kama yangu tofauti ni kidogo sana hata umri wangu ni kama ww 24 - 28 .
Hata mimi ninae msichana ananipenda sana yaan tuna miaka 4 kwnye mahusiano alafu haniombi hela kabisa mpka me nijiskie ndo nampa tena nakula mzigo muda wowote yaan ananielewa sana na sio muongo Hata kidogo ila me hayupo moyoni na sina sababu yoyote sielewi.
Ukipewa ushauri unishirikishe pia yaan najihisi na tatizo maana ni mzuri huyu binti ..
Kwa hiyo siku ya kwanza ulitaka kumbikiri na kondomSikiwai kupiga peku mpaka leo ndo maana nasema simuelewi kabisa yani
SureHuyo dem kilichokuwa kimemzingua ni utoto ila she loves you now
Ukweli huuHivi mkuu unataka umuache mwanamke anayekupenda uende wapi?nadhani ww ni mgeni kwenye hii dunia ya mapenzi na ole wako umuache huyo mwanamke hakuna rangi utaacha ona,wewe endelea kuichezea hiyo bahati tu siku akiondoka maisha mwako ndipo utakapojua ulikuwa unamiliki almasi.
Ni positiveYes amna kitu wote ni po+
We mpoteze utarudi na thread ingine...ila mapenzi ndivyo yalivyostory yako kama yangu tofauti ni kidogo sana hata umri wangu ni kama ww 24 - 28 .
Hata mimi ninae msichana ananipenda sana yaan tuna miaka 4 kwnye mahusiano alafu haniombi hela kabisa mpka me nijiskie ndo nampa tena nakula mzigo muda wowote yaan ananielewa sana na sio muongo Hata kidogo ila me hayupo moyoni na sina sababu yoyote sielewi.
Ukipewa ushauri unishirikishe pia yaan najihisi na tatizo maana ni mzuri huyu binti ..
Ni negative-- nimekosea mkuyNi positive
Muache tu aandike hovyo....Graduate anaandika hovyo namna hii. Kweli ndio maana elimu inadharaulika sana zama hizi. Watu kama nyie ndio mnasababisha.
Muache tu aandike hovyo....
hata ajira hakuna...
Mwanamke anaakili Sana kushika simu yake siyo kigezo kabisa .
Anaye na anapigwa miti vzr sana
Cha msingi ww amua kumuacha au kumuoa basi
Lkn kitu cha simu au kutonyimwa ni Jambo jingine
Wewe, labda hao uliokutana nao. Watu wanajitunza sana tuuAcha upuuzi hakuna manzi atafika chuo na bikra lbd mwanaume ukiwa peke yako ulimwenguni. Hakuna madanga kama hao
Jikite kwenye content.Unaweza kuta jamaa ni injinia. Mambo ya kuandika kwa ufasaha ni ya magwini hukoGraduate anaandika hovyo namna hii. Kweli ndio maana elimu inadharaulika sana zama hizi. Watu kama nyie ndio mnasababisha.