Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,688
- 2,982
Pole sana ndo naisha yalivyo
Hili hata mm limenitokea kwa sasa nashindwa kabisa yaani nikipiga demu sina hamu nae tena natafuta mwingine daaa kazi ipo
Ila mtihaniMuombe Mungu akupe moyo wa kupenda tena hakuna linaloshindikana
Kwa upande wangu siamini katika hiliI think we only fall in love once.
Yani Mwanaume mzima unasema Umeumizwa?? Hii aibu ya mwaka
Nilishawahi kuleta topic ya 'damaged goods'..lol
Jipe time,time is the best healer,yes with time majeraha yako yatapona na utapenda tena,trust me kuna walioexperience vitu vizito na sasa wana ndoa..hata wewe utapona tu
Rebeca tell me more about that. How long does it take? I feel like am too damaged beyond repair
Wewe piga tu mkuu --hiyo ndio njia bora ya kuji epusha na stress
Haha angalia tu -usije kupita na mke wangu nitakuendea Bagamoyo🤣🤣🤣 kabisa siwaachi hata kidogo
....Umempa Neno Jema, Mkuu...Kadri unavyozidi kumpenda mtu sana basi na ndivyo unavyozidi kuchelewa kumsahau.ukimpenda sana mtu alafu mkatengana ghafla baasi itachukua muda sana kukaa sawa na kumsahau kwa sababu alikaa hasa hasa moyoni.
Kinyume chake sasa..
Kama hukumpenda sana mtu basi kumsahau ni rahisi sana mkuu, kama mtu hukumpenda sana ghafla mkatengana basi inachukua muda mchache kumsahau.
Katika hali ya kwanza ile ya kumpenda mtu sana na kuchelewa kumsahau.hali hii ya kuchelewa kumsahau mtu ni ya kawaida sana kwa yule ambaye ghafla ametengana na ampendaye.
Usijaribu kupingana na hiyo hali mkuu, utakuwa umefanya maamuzi mabaya, huo ni upepo tu, hapo moyo wako unajirestoree upyaa.
Na kadri maumivu yako yanavyozidi pale unapomkumbuka basi ndivyo kuna asilimia fulani za kumbukumbu zinaondoka moyoni mwako juu yake. Acha uumie kwa ajili ya kuusafisha moyo wako asiwepo kabisa kwako.
Lakini jambo zuri ni kuwa, itakapotokea umekuja kumpata unayempenda zaidi ya huyo mliotengana, basi utakuja kumsahau mara moja,lakini kwa sasa ni nadra sana kumpata huyo ila ingetokea sasa hivi basi amini kwamba moyo ungeshamfuta yule na kumuweka huyu wa sasa hivi.
Relax mkuu, usijione kama haupo kawaida, hiyo ni kawaida katika maisha.
Muhimu usilazimishe kumpenda mtu kwa sasa, Acha itokee automatically umpende mtu pasi na kulazimisha na kutafuta tafuta yupi mzuri wa kumpenda.
Tulia, relax, fanya mambo yako, kila unapoumia jiambie kwamba haya maumivu ni kwa sababu moyo unafuta taswira yake ndani yangu....
Enjoy the life....