Nashindwa kumzoea shemeji yetu

ankol

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
2,685
Reaction score
5,170
Yaani kila nikimtazama labda nitaona kitu spesho juu yake lakini wapi.

Najiuliza maswali mengi hizi pesa zilizomwagwa hapa mbona haziendani na mwomekano yani apiarensi ya shem wetu?

Kwakweli najifariji moyoni najisemea labda ndio wale wa "usimuone hivyo huyo .....".

Yaani kwa apiarensi huku buza wako kibao na kama ndio kilikua kigezo mshkaji asingetumia mapesa yote kusafiri miles akati wa hivyo wako kibaao apa apa.

Smh.
 
Si kazi yako, punguza kiherehere
 
Sio kwamba amependa mwenzako tatizo ni hisa ya akili yake ipo chini alifanya hivyo ili aliyeachana naye aongee hayo maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…