Sasa wewe uliyenae karibu umeshindwa kumwambia sisi tulio mbali tutakusaidiaje...??
Anyway muite uongee nae au msalimi na kupiga story za kawaida..., kama kuna muelekeo wa yeye kukubali utajua tu, na yeye atajua sio mpaka umtamkie
Wanasema neva stop for less bt 4 da best! Huihitaji kuumiza akili sana au kuandika barua wala nini we kama kwel unampenda tafuta cku umwambie ukwel face 2 face!