@geneva of Africa, baba mngoni, mama mchagga
12/2/2012 is a deadline kulipa fee ili uruhusiwe kufanya mitihani pale CBE, mdogo wake huyo mwana CBE kalazimika kurudi st Kanumba hii ni baada ya baba yao kufariki two years ago.
Huyu binti ana ofa ya kuwa hawala wa Kanali alijuana naye alipoenda kumtembelea classmate wake (nurse) kazini na kukuta akimuhudumia.
Nilimuuliza jamaa (KANALI ) ana ukimwi.... akanijibu her classmate (O-LEVEL swahiba) kamwambia kwa mujibu wa vipimo walivyonavyo jamaa hana ngoma.
Note: take home yangu 520 000 na nina wadogo kibao anajua sina namna ya kumsaidia kifedha labda kimawazo.
ni umalaya plain and simple...
mshahara wa laki tano....unafikiria kutoa k ili ufanikiwe zaidi?
wasio na kazi je?
wenye mishahara ya la mbili na mke na watoto?
huo mshahara huwezi nunua charahani ukawa unashona nguo na kuuza
na kuongeza kipato?
huwezi kukopa kwa mshahara huo ukalipa kidogo kidogo....?
hapa ni njia ya kujustify umalaya tu..baasi....
Marytina......drama queen as usual....
hapa kuna habari mbili tofauti,
Habari ya kwanza inahusiana na mtu mwingine....huyo rafiki yako anahudumia watu wenye ukimwi tuu....kama ndivyo kwanini amjibu hana ngoma....ni sawa na kuuliza vumbi darini..
Weka uzi huu vizuri basi uweze kueleweka maana umechenguka chenguka kama riwaya.:A S-coffee:
habari ya pili umeielezea kama vile inakusuhusu wewe,
@geneva of Africa, baba mngoni, mama mchagga
12/2/2012 is a deadline kulipa fee ili uruhusiwe kufanya mitihani pale CBE, mdogo wake huyo mwana CBE kalazimika kurudi st Kanumba hii ni baada ya baba yao kufariki two years ago.
Huyu binti ana ofa ya kuwa hawala wa Kanali alijuana naye alipoenda kumtembelea classmate wake (nurse) kazini na kukuta akimuhudumia.
Nilimuuliza jamaa (KANALI ) ana ukimwi.... akanijibu her classmate (O-LEVEL swahiba) kamwambia kwa mujibu wa vipimo walivyonavyo jamaa hana ngoma.
Note: take home yangu 520 000 na nina wadogo kibao anajua sina namna ya kumsaidia kifedha labda kimawazo.