Nashindwa kumwambia akatae

Kazi kweli kweli!!!!

Bura ungetangaza achangiwe hapa JF ungeonekana wa maana kuliko hilo ulilo dhamiria kwa mwenzio. Wewe balaaaaaaaaaa!!!!!!
 
mwaka wa pili atembee na kanali ili asome

mwaka wa tatu itakuwaje?

mke wa kanali akirudi?

akimaliza shule kutafuta kazi atatembea na wangapi?

akiajiriwa atatembea na wangapi kulinda ajira yake???????

na wewe ndo mama alie nae kweli?

so sad....
 
Marytina......drama queen as usual....
hapa kuna habari mbili tofauti,
Habari ya kwanza inahusiana na mtu mwingine....huyo rafiki yako anahudumia watu wenye ukimwi tuu....kama ndivyo kwanini amjibu hana ngoma....ni sawa na kuuliza vumbi darini..

Weka uzi huu vizuri basi uweze kueleweka maana umechenguka chenguka kama riwaya.:A S-coffee:


habari ya pili umeielezea kama vile inakusuhusu wewe,
@geneva of Africa, baba mngoni, mama mchagga

12/2/2012 is a deadline kulipa fee ili uruhusiwe kufanya mitihani pale CBE, mdogo wake huyo mwana CBE kalazimika kurudi st Kanumba hii ni baada ya baba yao kufariki two years ago.

Huyu binti ana ofa ya kuwa hawala wa Kanali alijuana naye alipoenda kumtembelea classmate wake (nurse) kazini na kukuta akimuhudumia.

Nilimuuliza jamaa (KANALI ) ana ukimwi.... akanijibu her classmate (O-LEVEL swahiba) kamwambia kwa mujibu wa vipimo walivyonavyo jamaa hana ngoma.

Note: take home yangu 520 000 na nina wadogo kibao anajua sina namna ya kumsaidia kifedha labda kimawazo.
 
ni umalaya plain and simple...
mshahara wa laki tano....unafikiria kutoa k ili ufanikiwe zaidi?
wasio na kazi je?
wenye mishahara ya la mbili na mke na watoto?
huo mshahara huwezi nunua charahani ukawa unashona nguo na kuuza
na kuongeza kipato?
huwezi kukopa kwa mshahara huo ukalipa kidogo kidogo....?

hapa ni njia ya kujustify umalaya tu..baasi....

Umesahau kumwelekeza acheze upatu!
 
Marytina......drama queen as usual....
hapa kuna habari mbili tofauti,
Habari ya kwanza inahusiana na mtu mwingine....huyo rafiki yako anahudumia watu wenye ukimwi tuu....kama ndivyo kwanini amjibu hana ngoma....ni sawa na kuuliza vumbi darini..

Weka uzi huu vizuri basi uweze kueleweka maana umechenguka chenguka kama riwaya.:A S-coffee:


habari ya pili umeielezea kama vile inakusuhusu wewe,

Huyu bana! Umeona ehhh?
 
@geneva of Africa, baba mngoni, mama mchagga

12/2/2012 is a deadline kulipa fee ili uruhusiwe kufanya mitihani pale CBE, mdogo wake huyo mwana CBE kalazimika kurudi st Kanumba hii ni baada ya baba yao kufariki two years ago.

Huyu binti ana ofa ya kuwa hawala wa Kanali alijuana naye alipoenda kumtembelea classmate wake (nurse) kazini na kukuta akimuhudumia.

Nilimuuliza jamaa (KANALI ) ana ukimwi.... akanijibu her classmate (O-LEVEL swahiba) kamwambia kwa mujibu wa vipimo walivyonavyo jamaa hana ngoma.

Note: take home yangu 520 000 na nina wadogo kibao anajua sina namna ya kumsaidia kifedha labda kimawazo.

Anadaiwa shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom