Ibrahim-Pasha
Member
- Dec 16, 2018
- 47
- 86
Subiri yakukute, utajua la kufanya...Habari wana jf mm niko na mpenz wang tunaelekea kumaliza mwaka sasa katika mahusiano yetu mwanzo tulipendana sana tena sana lakin kwa sasa huyu mwenzangu kabadlika yup busy hakutafut mpka nimtafte mm naweza kaa ata siku 3 kimya nae hukaa hvyo hvyo hata nikmtishi nikimwambia tuachane yeye anachukulia kawaida tuu anajibun"poa " kwa kwel nashindwa kumuacha kila nikimuacha najikuta nimemrudia nikkausha najikuta nimemtafta tena.. Ushauri wenu ndugu ......plz
