Nashindwa kumuacha kabisa

Nashindwa kumuacha kabisa

Moyo unaweza kupenda yoyote,hata mwenye tabia mbaya
Si kila tabia unayojua wewe ni mbaya na mwengine atasema ni mbaya, kuna kutofautiana mtizamo.
Ukimpenda mtu lazima kunakua na sababu. Najua unaelewa.
Note: kuna kumpenda mtu awe mpenzi tu wakufanya nae ngono, na kuna kumpenda mtu ukataka awe wa ndoa (familia).
 
Nilishawahi kupitia wakati mgumu kama huo unaopitia lakini let me tell you something broo

Ukiona dalili mpenzi wako ameanza kujitenga na wewe hapo kuna mambo Makuu matatu

1.la kwanza inawezekana huyo mwanamke ameona katika mahusiano yenu hakuna future anayoiona hivyo anatafuta nafasi ya kutokea aendelee na maisha yake

2.la pili anaona unampotezea muda wake vitu alivyotarajia toka kwako havioni na haoni mabadiliko yeyote

3.la tatu kuna dalili mpenzi wako ameanza kukusaliti taratibu kuna mtu ameanza kumpa vitu ambavyo wewe hawezi kukupa

4.la nne anapima upepo akuone moyoni mwako kama unampenda kweli

Ushauli wangu : tafuta muda uzungumze nae face to face umsikilizie lakini pia anza kujitathimini wapi ulipojikwaaa mwisho wa siku uamuzi ni wako

Kubaki au kuendelea
Nashukuruu sana broo nimekuelewaaa sanaaa.
 
Watu walio advance from chaputa to kupata demu ndo wanakuaga hiv
 
Si kila tabia unayojua wewe ni mbaya na mwengine atasema ni mbaya, kuna kutofautiana mtizamo.
Ukimpenda mtu lazima kunakua na sababu. Najua unaelewa.
Note: kuna kumpenda mtu awe mpenzi tu wakufanya nae ngono, na kuna kumpenda mtu ukataka awe wa ndoa (familia).
Nafikiri kwenye kumpenda mtu kwa ajili ya ngono ndio kunaweza kutetea hiyo point yako ya sio kila tabia nayoona mimi mbaya na mwingine aone mbaya.....watu wa hivi hawajali sana kuhusu tabia ya partner wake,yeye ili mradi anapata anachokitaka

Lakini kwa mapenzi ya mtu anayefikiria kuanzisha familia lazima atakuwa na mtazamo sawa na wengine wengi....yaaaani kama ni tabia mbaya kwa wengi basi itakuwa mbaya pia kwake na kinyume chake
 
Habari wana jf mm niko na mpenz wang tunaelekea kumaliza mwaka sasa katika mahusiano yetu mwanzo tulipendana sana tena sana lakin kwa sasa huyu mwenzangu kabadilika yup busy hakutafuta mpaka nimtafte mimi naweza kaa hata siku 3 kimya nae hukaa hivyo hivyo hata nikimtisha nikimwambia tuachane yeye anachukulia kawaida tuu anajibu"poa " kwa kwel nashindwa kumuacha kila nikimuacha najikuta nimemrudia nikkausha najikuta nimemtafta tena.. Ushauri wenu ndugu ......plz
Huyo jamaa ni mumeo ama demu wako?
 
usimuache ila tafuta demu mwingine then u will balance the weigh..
 
Habari wana jf mm niko na mpenz wang tunaelekea kumaliza mwaka sasa katika mahusiano yetu mwanzo tulipendana sana tena sana lakin kwa sasa huyu mwenzangu kabadilika yup busy hakutafuta mpaka nimtafte mimi naweza kaa hata siku 3 kimya nae hukaa hivyo hivyo hata nikimtisha nikimwambia tuachane yeye anachukulia kawaida tuu anajibu"poa " kwa kwel nashindwa kumuacha kila nikimuacha najikuta nimemrudia nikkausha najikuta nimemtafta tena.. Ushauri wenu ndugu ......plz
tafuta mwingine mpotezee taratibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom