Alphonce Kagezi
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 327
- 157
Magufuli yeye namfananisha kabisa na Mugabe. Anatupeleka shimoni tukiwa tunamwangaliaHabari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Maongezi haya ni juu ya Magufuli au ni juu ya kuwadi wa mabepali?Magufuli yeye namfananisha kabisa na Mugabe. Anatupeleka shimoni tukiwa tunamwangalia
Dikteta Katili Maguful. Sema AmeenMaongezi haya ni juu ya Magufuli au ni juu ya kuwadi wa mabepali?
Kuna Wajinga,Kama wewe mpaka Leo wanaendelea kuvimbiwa matango pori tuliyolishwa enzi za Nyerere.Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Hana tofauti; kwani anacholilia ni kuwa kuwanyima mabeberu kuchukua makinikia ni makosa "tutashtakiwa!" Hajui kuwa composition ya makinikia ni madini mengi zaidi ya dhahabu ambayo ndiyo tumewapa leseni kuchimba. Anataka kuwaruhusu watumie leseni ya dhahabu kuchimba madini yote ya Tanzania! Mtu wa ajabu sana huyuHabari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Rudi kwenu Burundi we kijana kwani wewe kwa hakika si Mtanzania!Mimi sio UVCCm Mkuu,mimi
Ni mzalendo halisi ninayeipenda nchi yangu na sio tayari kuona ardhi yangu ikiharibiwa kwa masrahi ya watu wachache kama akina lissu
Lisu ni MTU hatari sana, Ila wanacdm kwa kuwa wengi walishavutishwa ugoro club billicanas hawawezi kujua. Ndio maana wanaitwa nyumbuHabari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Mimi ni mtanzania halisi mkuu,leta hoja tujadili sio kunifukuza nchi ni mwanguRudi kwenu Burundi we kijana kwani wewe kwa hakika si Mtanzania!
Amen, date 28 kura nyingi kwa JPM mzalendo halisiHabari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Amina,Amen, date 28 kura nyingi kwa JPM mzalendo halisi
Muda ni mwalimu mzuri sana,sioni mwisho mzuri kwa taifa letu, naona kuna nia ovu imefichika dhidi ya Lissu na ana hasira sana ya kulipa kisasiNyendo za Tundu tu zinaashiria kina kitu nyuma yake, ukimuona mbwa mtini jua kapandishwa - digba sowey
digba sowey