Chang’oe
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 233
- 434
Ulichoandika sioni kama kinashabihiana na ulichokusudia kuwakilisha.Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Kila mtu ana imani yake,kama ambavyo wewe unaamini tupo uchumi wa kati,wengine hawaamini hilo.Yes,kama katamka machafuko,ni kwasababu anaamini endapo mchakato utavurugwa kwa namna yoyote bas lazima watakuwepo waandamanaji,hayo ni maono yake,so kama unataka kudeal na maono yake,basi deal na sababu pia alizotoa.
Ni upungufu wa akili pia kuwaza flani ni mbaya kisa tu anagusa maslahi ya watu uwapendao,ni vyema kujiuliza hao uwapendao wako sahihi,na kama jibu ni ndio baki na imani yako kila mtu apime kwa mzani wake sio kumsemea mtu vibaya.
Namaliza na "shame on you."