Nashindwa kumtofautisha Tundu Lissu na Jonas Savimbi

Nisikitike kuona Watanzania mnaanza kutunishiana misuli mitandaoni hali hamko face to face je mgeonana safari yenu ibgekuwa salama kweli?
Mauaji ya kimbari na vita vya wenyewe kwa wenyewe vilianza kwa maneno na mwisho kukamiana chuki ikataga mayai ikatotolewa kifaranga aitwae mauaji ya kimbari! Ebu kumbukeni Tanzania ni Moja na watu wake ni wamoja jilindeni kuzikuza tofauti za itikadi ya kisiasa na vinginevyo kila Mtanzania ajilinde kuutumia ulimi wake kwa maneno yatayoweza kutafsiriwa vibaya na maadui zetu .
Nachoamini Tanzania ni moja na watu wake ni wa moja tudumishe hayo mengine ya siasa kila bada ya miaka 5 yakuja na bada ya miezi michache husahaukika bada ya uchaguzi kupita.
 
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-

Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.

Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.

Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali

Nawasilisha.
Magufuli yeye namfananisha kabisa na Mugabe. Anatupeleka shimoni tukiwa tunamwangalia
 
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-

Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.

Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.

Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali

Nawasilisha.
Kuna Wajinga,Kama wewe mpaka Leo wanaendelea kuvimbiwa matango pori tuliyolishwa enzi za Nyerere.
Tanzania tulipotoshwa saana kuhusu Savimbi!
Hata Nyerere,baadaye alibaini kuwa alikosea kumshtumu Savimbi!
Unajua walichokifanya kina Dos Santos kwenye Uchumi na Maisha ya Angola!
Ni Heri Wareno kuliko Timu ya Do Santos!
Ukitaka kumjua Savimbi....chimba historia ya mapambano Angola!
Hongera Sana ...Ni kweli Lissu Ni Mwanamapinduzi Kama Savimbi!
RIP Comred Savimbi!
Bravo Lissu Antpus!
 
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-

Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.

Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.

Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali

Nawasilisha.
Hana tofauti; kwani anacholilia ni kuwa kuwanyima mabeberu kuchukua makinikia ni makosa "tutashtakiwa!" Hajui kuwa composition ya makinikia ni madini mengi zaidi ya dhahabu ambayo ndiyo tumewapa leseni kuchimba. Anataka kuwaruhusu watumie leseni ya dhahabu kuchimba madini yote ya Tanzania! Mtu wa ajabu sana huyu
 
..hizi ni chuki tu za kisiasa.

..ni juhudi za kuhalalisha shambulizi la September 7, 2017 dhidi ya Tundu Lissu.
 
Duniani ni kawaida kunfananisha ntu na ntu au ntu na nnyama,uzi hautanoga nikiondoka humu bila kukufananisha na ngedere angalau mmoja wa pori la akiba la selous
 
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-

Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.

Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.

Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali

Nawasilisha.
Lisu ni MTU hatari sana, Ila wanacdm kwa kuwa wengi walishavutishwa ugoro club billicanas hawawezi kujua. Ndio maana wanaitwa nyumbu
 
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-

Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.

Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.

Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali

Nawasilisha.
Amen, date 28 kura nyingi kwa JPM mzalendo halisi
 
Sisi tunamfananisha na Nelson Mandela....

Watz wameamua Tundu Lissu awe rais wao hakuna wakumzuia
 
Nyendo za Tundu tu zinaashiria kina kitu nyuma yake, ukimuona mbwa mtini jua kapandishwa - digba sowey

digba sowey
Muda ni mwalimu mzuri sana,sioni mwisho mzuri kwa taifa letu, naona kuna nia ovu imefichika dhidi ya Lissu na ana hasira sana ya kulipa kisasi

Na ana chuki kubwa ndani ya moyo wake,ogopa sana nyati akijeruhiwa,lissu ni nyati aliyejuluhiwa,haana hasara na taifa letu,itatugharimu sana mwaka huu ,ni Mungu pekee aingilie kati,na tumuombe Sana
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom