mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,201
Uliona mbali sanaYamenza kutimia,huyu ni kibaraka hatari sana kwa mstakabari wa maendeleo ya taifa letu
Uliona mbali sanaYamenza kutimia,huyu ni kibaraka hatari sana kwa mstakabari wa maendeleo ya taifa letu
Nyendo zake tu zinaashiria kina kitu nyuma yake,ukimuona mbwa mtini jua kapandishwaUliona mbali sana
Hilo ni suala la wakati. Hata Nelson Mandela kati ya mwaka 1964 -1990 alikuwa gaidi. Lakini mwaka 1994 akawa Rais wa Serikali ya wengi ya South Africa. Na hao hao waliomuita gaidi walimtunuku nishani ya heshima ya NobelHabari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo siku haitafika,labda ya usaliti wake na kutumika kwake na mabeberu ndo ishaanza kuonekanaHilo ni suala la wakati. Hata Nelson Mandela kati ya mwaka 1964 -1990 alikuwa gaidi. Lakini mwaka 1994 akawa Rais wa Serikali ya wengi ya South Africa. Na hao hao waliomuita gaidi walimtunuku nishani ya heshima ya Nobel
Nasubiri siku ambayo na wewe inamtambua Lissu kama Rais wa Tanzania yenye demokrasia
Kwenye haki za madini Tundu Lissu ndiye Mzalendo namba moja. Kama hujui sema tukuelezeHiyo siku haitafika,labda ya usaliti wake na kutumika kwake na mabeberu ndo ishaanza kuonekana
Hawa wanahitaji huruma maana ni headless chicken
Madini yepi hayo ambayo huyu kibaraka wa wazungu amewahi kuwa nayo,? Hukimsikia vizuri alipokuwa akisema ikiwa atakuwa rais wa jmt(jambo ambalo halitatokea) atayauza na kuyaweka rehani madini yetuKwenye haki za madini Tundu Lissu ndiye Mzalendo namba moja. Kama hujui sema tukueleze
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
MmamayooManiner
NyooMmamayoo
Ndugu unajua hali ya Angola leo?
unaweza kutuambia SAVIMBI na hawa waliopo leo nani ni wanyonyaji ?
Kama wewe mwenyewe unashindwa kujitofautisha na shoga, utawezaje kumtofautisha Savimbi na Lissu?Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aspirin unanivunja mbavu huku Mimi ujue. Haahhaha ..kumbe jamaa anadalili zote🙃Kama wewe mwenyewe unashindwa kujitofautisha na shoga, utawezaje kumtofautisha Savimbi na Lissu?
Wenye tabia hizo huwa hawajifichi... kuanzia mavazi, mienendo, tabia mpaka maandishi yao.... mtu anaandika huku anatoa ushuzi unategemea nini kiongozi?Aspirin unanivunja mbavu huku Mimi ujue. Haahhaha ..kumbe jamaa anadalili zote🙃
Naona UVCCM mnatekeleza maagizo ya Bashiru.Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio UVCCm Mkuu,mimi
Ni msitu gani mpinzani wako anaopigania?Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app