Nashindwa kumtofautisha Tundu Lissu na Jonas Savimbi

Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-



Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.


Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.


Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni suala la wakati. Hata Nelson Mandela kati ya mwaka 1964 -1990 alikuwa gaidi. Lakini mwaka 1994 akawa Rais wa Serikali ya wengi ya South Africa. Na hao hao waliomuita gaidi walimtunuku nishani ya heshima ya Nobel

Nasubiri siku ambayo na wewe inamtambua Lissu kama Rais wa Tanzania yenye demokrasia
 
Hilo ni suala la wakati. Hata Nelson Mandela kati ya mwaka 1964 -1990 alikuwa gaidi. Lakini mwaka 1994 akawa Rais wa Serikali ya wengi ya South Africa. Na hao hao waliomuita gaidi walimtunuku nishani ya heshima ya Nobel

Nasubiri siku ambayo na wewe inamtambua Lissu kama Rais wa Tanzania yenye demokrasia
Hiyo siku haitafika,labda ya usaliti wake na kutumika kwake na mabeberu ndo ishaanza kuonekana
 
Kwenye haki za madini Tundu Lissu ndiye Mzalendo namba moja. Kama hujui sema tukueleze
Madini yepi hayo ambayo huyu kibaraka wa wazungu amewahi kuwa nayo,? Hukimsikia vizuri alipokuwa akisema ikiwa atakuwa rais wa jmt(jambo ambalo halitatokea) atayauza na kuyaweka rehani madini yetu
 
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-



Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.


Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.


Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app


Maniner
 
Akikujibu nitag bro. Binti wa Dos santos kajilimbikizia mali na kusepea nje ya nchi baada ya wenye mali kushituka na kutaka kumshitaki mahalamani, anaogopa kurudi. Ni wa chama tawala huyo!
Ndugu unajua hali ya Angola leo?
unaweza kutuambia SAVIMBI na hawa waliopo leo nani ni wanyonyaji ?
 
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-



Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.


Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.


Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe mwenyewe unashindwa kujitofautisha na shoga, utawezaje kumtofautisha Savimbi na Lissu?
 
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-



Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.


Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.


Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona UVCCM mnatekeleza maagizo ya Bashiru.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-



Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.


Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiitelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola,Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na jeshi la serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.


Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu ,bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake,na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena,watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania,mbariki rais wetu pamoja na viongizi wote Wa chama na serikali

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni msitu gani mpinzani wako anaopigania?
Bila shaka Taaluma yake ni sheria
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom