Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

Mnaotukana poa tuuu yatawakuta. Ila ki ukweli Nilitaka kusaidiwa tunaenda wapi kwa matusi watanzania? Kama Huwezi kuchangia si uache upite tu.
 
Dada yangu muulize ana mambo gani yanayomsibu maybe kazini kwake au kama chanzo ni ww ili muweze kuwekana sawa maana ndoa ni pamoja na tendo lenyewe.
 
Leo ni matokeo ya jana ndo faida za nyeto hizo
 
tehe tehe tehe tehe tehe...........u made my day nimecheka kweli
 
"KINAKUWA KIMELALA." Hebu fafanua ni kidogo sana? lete majibu na la swali la hapo juu, una kilo ngapi!
kuna mambo mengi ya kujadili hapa ila itategemea na majibu yako! Kwanini kilale wakati hakijamaliza kazi yake!

Anamaanisha kibamia
 
Tumieni Gangnam Style....

gangnam_style_by_yefta03-d5gnu5f.jpg
 
Jamani Naombeni msaada wenu. Nashindwa kufanya mme wangu afike kileleni. Mara tukianza nikiwa juu nikikaa muda kidogo anasema namuumiza akija juu yangu kikichomoka anakasirika na kinakua kimelala sasa. kanikasirikia sasa tatizo nini? . Nifanyaje?

Sasa kama humfikishi yeye ww unafika, huyo atakua hayuko sawa, maybe utakua unamlazimisha ww ila ili kuepusha Shari anakubalj lakin matokeo yake ndio hayo... kaanae umuulize tatizo ni nn, muulize kama una tatize lolote, yawezekana una maji sana xo jamaa haenjoy au uke umepwaya sana misuli haibani... heb kaanae muongee kwanza kuhusu hilo mama usije ukaachwa jamaa akahamia kwa mchepuko
Sasa kama humfiki
 
Sasa hapo nani hamfikishi mwenzie kati yako na mumeo?
Wewe unafika?
 
Itakuwa labda iv
 

Attachments

  • 1410099264750.jpg
    1410099264750.jpg
    21.2 KB · Views: 389
unaweza kucheka lakini mtu anatatizo seriously daaa ingekuwa kule kwa madoctor labda
 
Back
Top Bottom