Lipa Kwanza
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 229
- 28
Huyo yuko karibu kusaidiwa mwambie aache ushamba...
Sasa hapo nani hamfikishi mwenzie kati yako na mumeo?
Wewe unafika?
una umri gani?Jamani Naombeni msaada wenu. Nashindwa kufanya mme wangu afike kileleni. Mara tukianza nikiwa juu nikikaa muda kidogo anasema namuumiza akija juu yangu kikichomoka anakasirika na kinakua kimelala sasa. kanikasirikia sasa tatizo nini? . Nifanyaje?
kama ni hivyo basi kamata mwiziTulikua tunafanya vizuri kabisa nashangaa siku hizi mbili tatu mambo hayaeleweki...
Tulikua tunafanya vizuri kabisa nashangaa siku hizi mbili tatu mambo hayaeleweki...
Tulikua tunafanya vizuri kabisa nashangaa siku hizi mbili tatu mambo hayaeleweki...
Usiogope wala usifadhaike. Ana kitu inaitwa mawazo, haswa ya kifedha. Usimsumbue kwa mambo ya mahitaji leo, usimtikise kwa maneno maneno haswa pia kuhusu hio hali maneno ka unawengine, unaninyima raha etc. Mtie moyo kuwa unampenda na unamthamini.
Angalia pia maakuli yako unayo mpa. Je ni vyakula vya kutia joto mwili au?? Jaribu mautundu mengine, kama kuoga pamoja, angalia nguo unayotumia usiku, Kanga moko au jeans? Mmekaa pamoja mda gani? mna watoto? Yapo mengi ila weye ndio mwenye ufunguo wa kulirudisha gari barabarani kwani laelekea mtaroni
Haya... Lakini mi naona ilikua poa tuu siku mbili hiz tatu ndio shida imeanza kutokea.. Sio kwamba ni kibamia Yuko kawaida tuu. Labda mnisaidie kama kuna mtu anafahamu vitu asili vya kuongeza nguvu za kiume.
Haya... Lakini mi naona ilikua poa tuu siku mbili hiz tatu ndio shida imeanza kutokea.. Sio kwamba ni kibamia Yuko kawaida tuu. Labda mnisaidie kama kuna mtu anafahamu vitu asili vya kuongeza nguvu za kiume.
kwani hapo kati ya wewe na yeye nani hamfikishi mwenzie kileleni??
kwa hapo wewe uafika??
hapo kuna tatizo la kisaikolojia na maumbile pia...........
huwezi ukakaa juu yake akaumia ki kawaida hata siku moja na wewe ukiwa chini ati ''kinachomoka'' mean kuwa ana kidole cha mwisho au??
kama inalala kabla hajamaliza means kuwa ana tatizo la ki afya au ww pia unaweza kuchangia kwa asilimia kubwa,,
mfano ukiwa unafanya mapenzi ikitokea umetoa kauli mbaya kwa mpenz wako hamu ya tendo ilaisha, ama kama ni mchafu kupitiliza ''unatoa harufu mbaya'' hata mimi ningeshindwa.....
pia kutokujishughulusha kuna maliza hamu ila si kutokumaliza tendo,
mengne naogopa kuongea zaid hapa kama hutojali ni PM