Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

Nawashukuru sana Ndugu zangu kwa michango yenu mizuri. Nitafanya hivyo kwa kutumia ushauri wenu vizuri respect kwa Proffesor, Cybernetic na wengineo mwenyezi Mungu awabariki nimepata mwanga sana. Asante.
 
Jamani Naombeni msaada wenu. Nashindwa kufanya mme wangu afike kileleni. Mara tukianza nikiwa juu nikikaa muda kidogo anasema namuumiza akija juu yangu kikichomoka anakasirika na kinakua kimelala sasa. kanikasirikia sasa tatizo nini? . Nifanyaje?

Tatizo kubwa hapo inawezekana mnaingia kwenye gemu bila maandalizi ya kutosha pia kwa upande wa pili je huyo mume wako ni muaminifu? inawezekana huwa anachepuka na akija kwako ameisha maliza hamu yake yote. lakini usikate tamaa cha muhimu jitabidi kumuandaa vema mmeo kwa hilo tendo kwa maneno mazuri na kumchezea maeneo yote muhimu katika mwili wake ikiwezekana unaweza hata kunyonya koni
 
bhana kufaniksha kufika kileleni changamoto ni kawaida coz utameet na makorongo n.k
cha msingi ni kufuata ushaur uloupat
 
Tatizo kilele chako kirefu sana...

Nimecheka sana....Maana tatizo la kufika kileleni ni la wanawake...


Yani nimecheka mwenzenu,mi nkajua n ke kumbe me,sas anashindwaje?m naona kwa mwanaume n rahisi mno bs atakua anaumwa c bure bwana.
 
Jamani Naombeni msaada wenu. Nashindwa kufanya mme wangu afike kileleni. Mara tukianza nikiwa juu nikikaa muda kidogo anasema namuumiza akija juu yangu kikichomoka anakasirika na kinakua kimelala sasa. ka4nikasirikia sasa tatizo nini? . Nifanyaje?

Hahahahh hapo kwenye bold kwa mtu mwenye upeo mzuri, ataelewa tatizo..

Tatizo ni kibamia, na anakuwa na hasira sababu hapendi hiko kibamia na hajiamini
Pole sana ila jitahidini tu kutafutia utatuzi wa hilo tatizo, kwa pamoja ndipo mtafanikiwa.
Na sio kukasirikiana.
 
huyo hayuko kwenye mood ya ku sex ..... kama unasema mwanzoni mlikuwa mna enjoy..... mpe mda momentum ikiwa vizuri mtaendelea ku enjoy....
 
Back
Top Bottom