Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,233
Kazi ya Moyo ni kusukuma damu, kupenda ni kiherehere
nilianza kukutongoza miaka miwili iliyopita tukiwa collage na hatimaye ukanikubalia.tukaanza mahusiano yetu.tena kwa furaha ya ajabu. tangu niwe na wewe nilikuwa sijui uchungu wa kutendwa.tulipendana zaidi ya kawaida. nilipokukosea moyo haukutulia hadi ulipo nisamehe.nawe ulifanya hivyo hivyo. siku zilipita tukiwa wenye furaha sana sana sana...mpenzi wangu nayaandika haya nikiwa na maumivu makali sana moyoni.hata nashindwa nifanye nini. kwa nini baby unisaliti?kwa nini? ni kipi nilichokukosea?au tatizo ni mimi kuwa mbali na wewe?umenisaliti mbaya zaidi we ndo umenieleza kuwa umesaliti na unahitaji msamaha wangu eti roho inakuuma. nakupenda sana sana sana.natamani nikusamehe lakini roho inasita na natamani tuachane lakini moyo unakataa kata kata.jamani wanajf nifanye nini?mbona nahisi uchungu kiasi hiki?naombeni mawazo yenu jamani
kuna concept hapakatka mahusiano, Usipende sana kupitiliza coz cku ukichukia utachukia the same way kama ulivyo penda.. kama newton alivyosema "evry action has equal and oposite reaction" me nakushauri mpe nafasi.. mtu anaposaliti na akakiri na kuomba msamaha kujutia makosa yake ni kwamba hata ye anaumia. mpe nafasi.. but this time be carefull.. penda kwa step na kwa akili.. me ninauz mrefu nkipataga mda ntashare na nyinyi... ni long story.