nashindwa kuformat local disk c... msaada

July Fourth

JF-Expert Member
May 2, 2012
2,240
794
kwa bahati mbaya nilinstall window 7 katika partition yaani hard drive zote mbili.. sasa nataka kuformat local disk c nashindwa... nikiclick format inanambia sorry cant be formatted...(hapo kama natumia local disk d na nina taka kuformat c )vilevile hata nikitumia command prompt yaani cmd naletewa ujumbe kwamba access denied as you do not have sufficient privaleges.you have to invoke this utility running in elevated mode.. vilevile nikiinstall upya window na nikachagua do not keep files... bado nayakuta katika windows old... wataalamu naomba naombeni msaada wa jinsi ya kuformat...tnx :tongue:
 
Kuna system files zinabaki kwenye c: hata kama windows yako itakuwa installed katika d: ndio maana inakugomea, unaweza kuformat tu iwapo uta-boot na cd na ukatumia utility yoyote kuformat ila hata hiyo os iliyopo kwenye d: haitawaka hadi ufanye tena repair.
 
Huwezi kuformat C ukiwa ndani ya Windows, pia pamoja na kwamba OS iko D ukiformat C nina wasiwasi PC haitawaka, ninachokushauri ni kudelete kila kitu usichokihitaji C badala ya kuformat, kama bado unataka kuformat itabidi utafute disk/flash iliyo bootable na yenye software inayoweza kuformat HD kisha uboot kwa hiyo disk na ufanye format, ninarecomment Ultimate Boot CD Ultimate Boot CD - Overview
 
Napata sms hii napo login baada ya ku renew my passwrd aftre my account of facebook to be hacked nifayeje msaada plz

Form Submitted
Thanks for providing this information. You should receive an email from us soon. In the meantime, we appreciate your patience.
 




Extra Security Features

Active Sessions

What does Active Sessions mean?

What does it mean if I don’t recognize a location in my Active Sessions?

How do I end an active session?


App Passwords

What are app passwords?

How do I use app passwords?

How do app passwords work with login approvals?


Login Approvals

What are login approvals? How do I turn this setting on?

How do set up my account so that no one can log into it without a code?

I’ve signed up for login approvals - what happens when I log in from a new device?

How do I get my login code?

I’m trying to access my Facebook account from a new device and I'm having trouble getting my login code.

I turned on login approvals but now I've lost my phone.

I have to enter a code every time I log in.

Why am I being asked to review my recent logins?

What is Code Generator? How does it work?

How do I activate Code Generator?

Once I activate Code Generator, how long will it take to get my code?

I don’t have a wireless connection. How do I get my login code?


Login Notifications

What are Login Notifications?

I turned on Login Notifications but now I have to name the same device every time I log in?

What is a recognized device?


One-Time Passwords

What is a one-time password?

When would I use a one-time password?

How do I get a one-time password?

Why am I seeing this "Protect Your Password" prompt?


Secure Browsing (https)

What is Secure Browsing (https)? What are the benefits?

How do I turn on Secure Browsing (https)?

How can I tell if Secure Browsing (https) is working?



Was the content on this page helpful to you? ·





 
Napata sms hii napo login baada ya ku renew my passwrd aftre my account of facebook to be hacked nifayeje msaada plz

Form Submitted
Thanks for providing this information. You should receive an email from us soon. In the meantime, we appreciate your patience.

Mbona umevamia thread sasa? Anyway nenda kwenye PC nenda https://www.facebook.com/hacked fuata maelekezo. Tumie email yako utakapoulizwa.
 
je nikitumia win optimiser kama ashampoo kudestroy files itasaidia au ndo itaaribu kila kitu??????
 
By default windows will always want to stay in c ndio maana inakuzingua hivyo. Toa kila kitu install upya
 
Hapo awali machine ilikuwa na os gani?ie xp gan?kama ni xp sp 1 or 2 itafute kwanza hiyo xp ya zamani,then format hiyo local disk c tumia option ya kuformat kwa kutumia ntfs na sio fat,then iache imalizike hadi mwisho then i format na hiyo wind 7 inaweza kukubali!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom