Nashindwa kuelewa mtazamo wangu

Nashindwa kuelewa mtazamo wangu

Mwanetu ulikuwa unatafuta references upigilie misumali kwenye hasira ulizokuwa nazo Mana ipo wazi kuwa mwanetu wewe Ni mhanga wa matukio ya KE na una uchungu sana vile unasoma ni Kama unarecall tukio.
#Ondoa Hasira wapige miti.
 
Za kuambiwa changanya na zako. Una umri gani wewe?. Yaani unataka kuishi maisha yako kwa kuangalizia humu?. Unaenda ku-feal
 
Kwanza nikuulize mtoa mada. Na wewe huna gari? Unajua wanaume tusio na magari jf ni watatu tu? Je unajua wanaume ambao hatuna magari mwisho mwaka huu. Kama hauna gari na hauna uhakika wa kulinunua mwaka ujao bora tu utoke jf maana mwaka kesho tutakuwa tunaongelea magari tu hapa. Usije ukatuchukia wenye nayo
 
Kashinde jukwaa la biashara na uchumi halafu ukachukue zile notions za kule kama ulivochukua hizi za MMU, utevel up
 
Kwanza nikuulize mtoa mada. Na wewe huna gari? Unajua wanaume tusio na magari jf ni watatu tu? Je unajua wanaume ambao hatuna magari mwisho mwaka huu. Kama hauna gari na hauna uhakika wa kulinunua mwaka ujao bora tu utoke jf maana mwaka kesho tutakuwa tunaongelea magari tu hapa. Usije ukatuchukia wenye nayo

Naona unazid kumtia wenge tu
 
Ukiona umeanza kuhisi hisia za kuwachukia wanawake ujue ndio umeanza kuelewa ukweli kuhusu wanawake na mapenzi kiujumla ila siku zitavyokwenda utakuwa normal kabisa ila utakuwa umejua nini cha kufanya kwa wakati sahihi kama mwanaume

Hii hali sio wewe tu hata mimi nilivyoingia JF kwa ID yangu ya zamani kabla nilikuwa napelekeshwa sana wanawake pia nilikuwa sintofahamu nyingi za kwanini ila baadae nilivyokaa sana JF nilianza kuchukia wanawake kwa sababu niyoyasoma kuhusu wanawake humu ndio yale ninayaona mtaani kwa asimia kubwa wala sio uongo japo wingine humu huja na stori za uongo

Kitu kinachopelekea wanaume wengi wakiingia humu huanza kuchukia wanawake ni ile hali ya kukutana na ukweli kuhusu wanawake inakuwa kama mtu aliyekuwa ameambiwa au ameoneshwa ukweli juu ya mtu aliemuamini sana na kujakugundua mtu huyo aliemuamini amemdanganya sana

Unajua vijana wa kiume wengi tumekua tumekua tukiaminishwa wanawake ni binadamu wema, mvumilivu,mpole,mwenye mapenzi ya dhati hata kwa mwanaume maskini😂😂,aneyeonewa, na akifanya makosa basi yamesababishwa na mwanaume yani jinsi jamii ilivyotuaminisha kuhusu wanawake ni uongo mtupu na hizi propaganda zinasambazwa sana kupitia tamthilia,dini humo makanisani,semina zile za mashuleni bila kusahau vile vitabu vya simulizi tulivyokua tunasoma o leval kwa ajili jibia mitiani karibia vyote maudhui yake yote vipo mlengo wa ferminist japokuwa vingi viliandikwa na wanaume ila ndio hivyo vinaongelea wanawake katka hali ya kuwa safisha sana tofauti na wanaume ambaye anaonekana kana kwamba ndio chanzo cha matatizo ila ukija kwenye ukweli halisi wanawake pia wana darkside zao kama tamaa,unyanyasaji,dharau,ubaguzi kwa kiasi kikubwa na maovu mengine tena yote wanafanya kwa akili zao wenyewe bila kusababishwa na mwanaume
 
Mimi ni mwanachama niliyeingia juzi Kati Jamii Forums lakini baada ya kuingia huku nimekuwa nikisoma Uzi nyingi za mapenzi, nyingi zinalenga kuonesha wanawake walivyo wabaya Kwa wanaume.

Kila mtu anaekomenti kuhusu tukio la mwanamke anatoa comment iliyojitesheleza kuonesha wanawake walivyo na tabia Mbaya, hawafai, namna ambavyo wanawanyanyasa wanaume na kero zao.

Sasa na Mimi naona nimeanza kuwachukia na kuwadharau wanawake.Hii roho ya kuchukia wanawake inakuwa Sana kadri navyoingia jukwaa la mapenzi na siwaoni kama Tena marafiki Bali maadui . Nyinyi mnaonaje ndugu kaka na Dada zangu.Nipo peke yangu au tupo wengi.Mtazamo wangu Kwa wanawake umebadilika vibaya Sana.
Ni matokeo ya ujinga na ujinsia. Hata hivyo, umetoa hitimisho jumla. Si wote tunaounga mkono upuuzi huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom