johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,942
- 141,918
- Thread starter
- #21
Lakini alipoenda Chadema akashinda.Lowassa hajawahi kupitishwa na CCM kwny Uchaguzi wa Rais mara zote mbili
Kamati ya maadili ya kina Lukuvi ilipobanwa na kina Hamis Mgeja kwny NEC june, 10 2015 pale Mjini Dodoma walijibu kuwa sababu na vigezo vilivyosababishwa akakatwa 1995 walivipitia na kujiridhisha bado ni valid…
wakati huo wapambe wake walikuwa wameandaa majibu ya hoja ya Richmond walidhan ndio ingetajwa kisababishi…yaani waliandaa majibu wakaingia nayo kwny pepa wakakuta swali la majibu waliyobeba halipo
Akaporwa.
Ikabidi aitwe Mtume na Nabii TB Joshua kuja kumtuliza maana Bara na visiwani pasingetosha!